How much can this house be?

How much can this house be?

But 250m mbona kama nyingi sana mkuu?
Unajua nondo tani ngapi,zege mita za ujazo Ni ngapi unajua. Ukishajua thamani za vifaa ivyo Basi nadhani Mambo mengine utaweza jua. Ama chukua eneo la nyumba zidisha kwa 700k-1000k.
Kama Ni nyumba ya kawaida chukua labda eneo lake ni 80 mita za eneo zidisha kwa 1000k , unapata 80M,iyo Ni ground floor na kwa first floor unafanya Ivyo ivyo
 
It's a simple structure, won't cost much kama zile complex buildings
 
Back
Top Bottom