Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Unajua nondo tani ngapi,zege mita za ujazo Ni ngapi unajua. Ukishajua thamani za vifaa ivyo Basi nadhani Mambo mengine utaweza jua. Ama chukua eneo la nyumba zidisha kwa 700k-1000k.But 250m mbona kama nyingi sana mkuu?
Kama Ni nyumba ya kawaida chukua labda eneo lake ni 80 mita za eneo zidisha kwa 1000k , unapata 80M,iyo Ni ground floor na kwa first floor unafanya Ivyo ivyo