Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Unajua nondo tani ngapi,zege mita za ujazo Ni ngapi unajua. Ukishajua thamani za vifaa ivyo Basi nadhani Mambo mengine utaweza jua. Ama chukua eneo la nyumba zidisha kwa 700k-1000k.But 250m mbona kama nyingi sana mkuu?
Tuhesabu na maua?Kwema wadau? Nyumba kama hii inaweza cost shilingi ngapi? Nimeipenda sana nataka kuijenga...
Anyone who can estimate the cost for building a house like this in Dar es Salaam?
With much thanks in advance.
View attachment 2764382
Mkoa gani huo๐๐, una kuta wewe ndo mwenye nyumba wangu๐Wadaslam akina mleta mada...me wa mkoani huku๐๐
Hahahah๐๐๐๐...huenda kweli, na nikawa nakudai pango๐ค๐คMkoa gani huo๐๐, una kuta wewe ndo mwenye nyumba wangu๐
Natumaini ushaionaMbona siioni๐๐๐ค
Yeah nimeona๐๐คNatumaini ushaiona
Picha ipo!Picha
Huwa naingilia dirishani, mlango nime funga kufuli kwa nje๐๐๐Hahahah๐๐๐๐...huenda kweli, na nikawa nakudai pango๐ค๐ค
Aisee ๐ณ๐ณHuwa naingilia dirishani, mlango nime funga kufuli kwa nje๐๐๐
Na uki zingua, Nauza nyumba yako๐๐๐Aisee ๐ณ๐ณ