mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 640
- 1,881
Hii nayo si haba, iliacha kumbukumbu mbaya kwa watu baadhi yao hadi leo.Mabumu ya Mbagala
View attachment 3241982
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo si haba, iliacha kumbukumbu mbaya kwa watu baadhi yao hadi leo.Mabumu ya Mbagala
View attachment 3241982
Time is volatileMwamba huyu hapa!
Nyakati hazidumu kwa kweli
Ni mfumo uliopo nchini kwetu huu dah 🥲Kiwango kikubwa cha udhaifu dhidi ya mamlaka.
Ilitakiwa asimame na kauli yake , hata umma ungesimama nae.
Karibu tu share matukio yaliyowahi kuwa ya kihistoria nchini kwetu.
akijibu tutag!Ulitaka kuandikaje?
Haikupaswa kwa kweli, maana tumejinasibu nchi yenye mihimili na kila mhimili unajitegemea hamna ulio juu ya mwenzake ingawa kuna ule ulio jichimbia sana.Ni mfumo uliopo nchini kwetu huu dah 🥲
Weka na ya bush ndugu yangu na ya yule rais wa chinaView attachment 3242005
Obama Tanzania
Jamaa yangu wa nguvu Sana huyu.View attachment 3242000
Nabii Tito
Acha tu bro! Muda sometime ni katili!Time is volatile
😂😂😂
Alitakiwa kutopewa air time kabisa huyu jamaa!
Acha tu bro! Muda sometime ni katili!
Muda haujasimama—dakika zinapita kama upepo.Acha tu bro! Muda sometime ni katili!
Mzalendo wa kweli kwa wakati wa tukio hili.
He was a legendMzalendo wa kweli kwa wakati wa tukio hili.
Nimemuelewa na nikamsamehe hasa baada ya kuona picha ya Mzalendo Hamza.Ningekuwaga mwalimu tu
Sasa title uliyoandika "How remembers this" ni nini maana yake?
Nimemuelewa na nikamsamehe hasa baada ya kuona picha ya Mzalendo Hamza.