How stupid do these people sound? If you know anything about Project Management

Mhandisi njaa.Unajifnya unajuuuuuuA !!! Lugha unayotumia kuwasilisha ujumbe imejaa dharau na kibri na hii inakufanya upoteze sifa ya usomi kama ni kweli umeenda shule.Vingine utakuwa umehudhuria shule tu.
Nimeomba msamaha kwa hilo lugha tayari.

Samahani na wewe kama nimekukera.

Anyway asubuhi njema nyote.

🙏🙏🙏
 

Msomi ee, andika basi kwa Kiswahili ili hoja yako ieleweke kwa wengi. Au basi andika kwa Kiingereza tu, ili sisi wengine tutafute wasaidizi. Lugha mseto inatuchanganya. Pia, nashauri umsikilize vizuri Makamba na huyo Mkurugenzi wa TANESCO ndipo uwajibu kwa hoja. Mfano: wao wamesema, baada ya TANESCO kubadili mfumo wake wa usimamizi wa mradi, na kumshauri mkandarasi naye kufanya maboresho kwa upande wake, kasi ya utekelezaji wa mradi imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 16 (ndani ya miezi kama sita hivi ya uongozi wao). Wewe unasemaje juu ya hoja hii?
 
Nimeomba msamaha kwa hilo lugha tayari.

Samahani na wewe kama nimekukera.

Anyway asubuhi njema nyote.

🙏🙏🙏
Bora ukapumzike. Halafu eti wewe ni JF-Expert! It is a shame. You don't deserve it. Lakini nilishakwambia huko nyuma. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Asiyefunzwa na wazazi atafunzwa na ulimwengu. Sijui hata kama unafundishika wewe.
 
Unajua wewe una comment on a very layman basis,umeiona hiyo contract inasemaje?
Acha kudandia nyoka kiunoni

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 


This how people do things kila project inaenda na task based on WBS na kila task ina hiko kitu kinachoitwa ‘Responsibility Assigment Matrix’ based on scheme of works.

So kila hatua kuna mtu anajaza nini kimefanyika on the milestone of the task at least each week, information ambazo zinatakiwa kuwa shared on the system which could be viewed na viongozi ambao awaendi kwenye project kila siku as the project evolves.

Hiyo nimeweka tu bali kila project inakuwa na management structure yake na RAM system inayomfikia mkurugenzi each day or week

Ndio maana ukiwasikiliza hao watu unaona hawana uwezo. Huo ndio ukweli wenyewe.
 
Unajua wewe una comment on a very layman basis,umeiona hiyo contract inasemaje?
Acha kudandia nyoka kiunoni

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nikikujibu unavyotaka wewe kwa jinsi ulivyokuja kuna wachangiaji wengine watasema natumia lugha mbovu wakati clearly mtu kama wewe unatafuta matusi kutoka kwangu.

Ngoja nikuache tu 🖕
 
Msalimieni Dr Tomor kutoka hapo Brunel University nilikuwa naye kwenye quality analysis ya Archstone Bridges mwaka jana.
 
Mkuu isijekuwa wewe ulikuwa mnufaika wa hizo unazoita WBS kwa sababu licha ya Wewe kutoandika kirefu cha WBS umeishia kutoa povu tuu.

Tulichosikia kwenye video ni kwamba Waziri anasema wamefanya marekebisho kadhaa ambayo yameongeza ufanisi wa usimamizi,Kasi na quality ya utekelezaji wa mradi.

Sasa hapa nani ni incompetent Kati yako wewe na wanaosimamia? Kwanza hujatuonyesha negative side so far zaidi ya mapovu.
 
Watu hawajui ata namna ya ku monitor the development of the project.

How does an M.D waits until a month has past before being aware on the project development ain’t that stupid.
Hakuna Project Manager/Supervisor wa mradi hadi M.D awe in charge wa moja kwa moja happy site?

Je kama ndio utaratibu waliojiwekea kupata taarifa on monthly basis?

Arrogant mapovu,nyie ndio mlichagua kampuni isiyo na uwezo na mkasimamia ujenzi wa substandard afu unaongea upumbavu hapa.
 
Mtoa mada ni mjinga mmja hivi aliyekariri clues za project management wakati ana narrow brain ndio maana hawezi kufikiria nje ya alichojifunza.

Nauliza hivi huo mradi hauna Project Manager/Supervisor anaeratibu daily activities, records and briefing kwa Management ya Tanesco na Wizara?
 
Tatizo lenu Mataga mngetaka tu kumuona Kalemani na watu wake wakiwa fenti fodi Wizarani, TANESCO na Kwenye huu mradi.
Mlikuwa mnadanganywa sana, itawachukua muda mrefu sana kurudi kwenye senses zenu.
 
Saizi fedha sio tatizo kama awamu ya Mwendazake.
 
Niambie meritocracy ya Bashite, Sabaya, Lugola, Chalamila, Kindamba, Kichere
 
Acha kuringia, kujigamba na kujipiga kifua kwa vyuo vya mabeburu vilivyojengwa na kufanywa bora na watu wake, rudi nyumbani kwako uje kusoma UDSM, nako engineering inafundishwa.
 
Saizi fedha sio tatizo kama awamu ya Mwendazake.
Hujanielewa bado. Ukifanya kazi na mkandarasi toka Asia na Afrika, asipolipwa, na wewe subcontractor hakulipi, hivi ndio kati ya vitu vinavyochelewesha mradi wa Rufiji, hata mradi wa Reli.

Kibongo bongo subcontractor akimaliza kazi yake, asipolipwa hana nguvu tena ya kifedha ya kuendelea na kazi. Kipande cha reli kati ya Dar na Moro kimefilisi wakandalasi wengi sana.

Ukifanya kazi na mzungu, ukimaliza lazima akulipe, yeye ataendelea dai, hivyo kazi waga hazisimami kwa watu kutokulipwa.
 
Huu mradi unaweza kukamilika 2030,
 
Niambie meritocracy ya Bashite, Sabaya, Lugola, Chalamila, Kindamba, Kichere

Sijasema Magu alikuwa perfect bali nimesema angalau alijaribu nina uhakika wewe hata Samia mwenyewe hamuwezi kukubali kutibiwa na daktari aliyeghushi vyeti au ? Au uko tayari kupanda ndege ambayo rubani aliiba cheti cha mwingine ?

Magufuli alikuwaa na mapungufu yake, lkn alijaribu sana na angalau alikuwa na uwezo wa kuona mbele, hivi huyu wenu wa sasa ana plan gani na nchi ? Ana roadmap gani ? Future ya Tanzania ana-define vipi ?
 
Mleta uzi ni tapeli, hapa anajifanya ni engineer mtaalamu wa miradi ya umeme ili tu amponde Makamba kwa sababu , kuna nyuzi nyingi anajionyesha kama mtaalamu wa sekta ya Afya na Kingereza chake cha copy and paste ili tu kumsifia Doro Gwajigirl.
Bwana matusi. Hata hiyo WBS unayoongelea inaelekea umekariri tu. Hivi huwezi kutoa maoni yako bila matusi? Inaelekea wewe ni kati ya watu wasiojua vitu vizuri lakini wanataka kujionyesha kwamba wanajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…