Ukizingatia nimesahau mawani yangu. Nabata ushungu balahi!hahahaha yaani Binamu mie naumwa kichwa kila nikiingia labda baadae tutazoea haya maisha wajua mwanzo mgumu
can someone please give me tips on HOW TO DUMP A GUY(external works).......?!II
Geoff, I thought you were a man??
But if you can maintain that you are a man, how do you want to dump another (guy))(external work)? or are you.......!!!!!???
Hommie rudi sasa.Mucha as I am not in any process od dumping any friend of mine....then I keep quiet here
poa mpwa!
nasikia umehamishia kanisa lako kawe
Mucha as I am not in any process od dumping any friend of mine....then I keep quiet here
Hommie rudi sasa.
Tumekumisi huku.
Home sweet home bana!
Hahahahaha mpwa najua wewe huwezi katu hahaha
Hebu kaangalie kwenye beseni. Unaweza kuta zimelowekwa.hommie acha tu...ngoja kwanza nifikirie..nguo zangu zingine sijui zilipo....dah
mpwa utaacha vipi au wewe unaweza kumwacha rafiki yako? wak kufa na kuzikana?
hii kitu muhimu sana wakati ndo kwanza umeoa au umeolewa
manake kuna maswahiba wengine nafikiri hawafikirii kaa mwenzao sasa majukumu na kipa umbele kimebadilika
rafiki anaweza kukwambia kila weekend mkajirushe huku mama watoto na mtoto mchanga anabaki peke yake!
Noted with many thanksKAIZER NDO HAWEZI KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!....according to the MILA and DESTURI😀