McDeedanny
Member
- Apr 14, 2013
- 56
- 7
Mimi hua nahisi suala la vitabu ni kununua, yani vinavyopatikana online ni vichache labda uwe umejiumga kwenye library zao kuna malipo unalipa kisha unaweza soma vitabu mbalimbali kwa muda ambao umelipia huduma hiyo.