how to heal from a breaking relationship?


Pole gfsonwin naona uzi umekwenda mrama!..
Back to ze topiki..kama alivyosema dadaangu Kaunga inategemea na Mmeachanaje?..Kuna break ups zengine kwa kweli zinahitaji 'rehabilitation' kabisa kwa sabb mnaachana ni a way ambayo akili inakuwa imechoka to the maximum..But all in all TIME IS BEST HEALER..Dont ever jump into another relationship b4 mind yako haijawa settled..ni muda gani ukae?..it depends na tragedy iliyokukuta!
 
Last edited by a moderator:

Hujui sredi yako imetonesha madonda ya watu.......hapa tunawapa vidonge na kuwa-heal hawa

 
SnowBall yaani huyu Asprin na platozoom hawa itabidi niwatafutie clab ya michezo wakaondolee stress zao huko. manake hapa siwaelewi kabisa.

back to the topic naona umesema kweli kabisa but je nini mtu kama akifanye ili aweze kuanza afresh after healing?
 
Last edited by a moderator:

Bado sitaki kuamini kama kuna formula ambayo inaweza kuwa universally applied kwa wahanga wa mapenzi ili ku'resume' maisha yao tena...Uzoefu wangu unaniambia kuwa 'unapokuwa kwenye stress za mapenzi including break ups..please don't ever live in isolation'...because isolation is the sister to loneliness which are the mothers to suicides!
 

hapo kwenye bold ndipo ambapo tulikuwa hatujapagusa mkuu asante sana kwa kutupa somo zuri sana.
 
khaa! hii ya kwako nivea ni kiboko
ninakuambia inasaidia sana bunafsi nimecheka hivi hujawahi kuona mfano:mama alikimbiwa na baba au alipewa mimba akakataliwa ila anamjua baba watoto wanamuuliza baba yetu nani anawaambia alishakufa!!! kha ilhali anakatisha hapo mtaani kila siku?inasaidia kuondoa matarajio ya kitu maana kitu kikishakufa u have to forget about it gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
SnowBall hivi sikuile ilikuwaje tena
 
Last edited by a moderator:
utaishia kubakwa kila siku
 
dawa ya moto ni moto, it depends ila kama a cause of this separation ni noma basi na wewe fanya noma tafuta gari lingine anza safari mpya, itajuana mbele ya safari - maisha ni mafupi sana please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…