how to heal from a breaking relationship?

how to heal from a breaking relationship?

Ndo maana yake.

Then ujifunze kuwa sisi wanaume ni mabazazi kwenye mapenzi. Asilimia 90 ya tunayowaambia ni uongo, na malengo yetu ni kumega tunda. Unless mwanaume amekuoa, tena kwa heshima zote na kukuweka ndani, na kukuheshimu kama mkewe, then usimwamini mwanaume yeyote, kama sisi tusivyowaamini nyie...
 
Enough time ni how much time?

Kama unaamini juu ya true love, mliyebreak naye ndio alikuwa the one. Do u think it is easy to replace ur true love?

Again, nasisitiza tumeumbwa tofauti. Hata bila ya kuumizwa kuna watu wako open kwa wengine, wengine wako peke yao.

Pia sababu ya kuvunjika kwa uhusiano unahusu sana; for me kuna impossible love niliyoivunja mwenyewe. It took years to forgot. Kuna nyingine which was abusive relationship, l was happy to break it na sikubaki na majeraha. The rest ni simple affairs ambazo hauzitilii maanani.

Kuachwa ni kitu kingine, ambacho sina uzoefu nacho sana. But l can imagine how painful it can be kuachwa na love of ur life.

Utatamani usisikie chochote kuhusu mapenzi; n that reminds me of Tony Braxton song "another sad love song" (BAK chaguo la msikilizaji tafadhali)

but Kaunga my dearest likishatokea what will you do? are you going to die out of hypertension just because of love? we need to trust ourselves madame. tujitambue kisha tukubaliane na matokeo na kuamini tunachokiface. mm sidhani kama kuna sababu ya kuendelea sana kuumia asababu ya penzi ambalo tayari limeshavunjika?
 
Last edited by a moderator:
ndiyo maana jana HorsePower aliongelea maumivu ya mapenzi nikamwambia ishu ni kwamba watu huwa wanapenda kiisia zaid kuliko kiuhalisia.

to me penda kwa akili na mara nyingi sana wanawake ndo wahanga wa kupenda kwa hisia yaani kila penzi mnalikaribisha na kuliingiza moyoni aisee mim ni tofauti sijawah kuingiza moyoni huwa yanaishia akilini tu so napenda kiuhalisia na siku zote panapotatizo akili huchukulia kama changamoto.

Unajua siku izi hata madada poa nao wanaekt kuwa wanapenda kwa hisia. So ni ngumu kutofautisha kama hisia anazoonyesha mdada ni za kweli au anaekt tu. Na jingine ni kuwa 85% ya wanawake wanapenda ela za wanaume, sio wanaume wenyewe...
 
Tupo pamoja...
true love ni mwanao na wazazi wako, mwingine yeyote ni kujidanganya.

Akikuletea za kuleta anza mbele kabla hajakuprovoke akuburuze kwa gari kama Nasra hadi ufe.

lakini sasa kwenye mausianano hata ya wapenzi yapo ya kweli kabisa ila inategemeana tu na mnapendana kwa vipi.
 
moyo unaoonelea hapa ni moyo gani Asprin? ule wa kuachilia na kukukubali matokeo ama wa kusahau?

je kama kipimo ni pale utakapoona na kutaka kupenda tena huoni kama moyo waweza kukusliti labda ukakupeleka kwa staili ya matamanio ama kumaliza haja za kimwili tu (ngono Tu?)
Ukiona umeshindwa kabisa kuvumilia bi gfsonwin, Kaunga KOKUTONA, Freema Agyeman Yummy, cacico, BADILI TABIA, Catherine Roulette na ndugu zangu platozoom Kaizer Erickb52 Mtambuzi na Bishanga basi fanya maamuzi magumu ya kihehe. Lakini usisahau kumuaga aliyekumwaga ili maamuzi yako naye yamuumize kama alivyokuumiza.

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Then ujifunze kuwa sisi wanaume ni mabazazi kwenye mapenzi. Asilimia 90 ya tunayowaambia ni uongo, na malengo yetu ni kumega tunda. Unless mwanaume amekuoa, tena kwa heshima zote na kukuweka ndani, na kukuheshimu kama mkewe, then usimwamini mwanaume yeyote, kama sisi tusivyowaamini nyie...

Unaongelea hao walioowa na unawasifia? Hao ndo mabazazi kabisa tena hawaeshimu ndoa zao, wana nyumba ndogo full then ni wasumbufu sana sana.
 
Unajua siku izi hata madada poa nao wanaekt kuwa wanapenda kwa hisia. So ni ngumu kutofautisha kama hisia anazoonyesha mdada ni za kweli au anaekt tu. Na jingine ni kuwa 85% ya wanawake wanapenda ela za wanaume, sio wanaume wenyewe...

kwangu mimi Tuko nimejifunza kupenda kuzuri ni kupenda kiuhalisia kwa kutumia akili na wala siyo moyo. hebu jiulize moyo huwa mnyonge siku zote na daima hujenga chumba ama wodi ya maumivu nafsini lakini ukipenda kwa akili basi itachukulia kama changamoto na kukutafutia alternative.
 
Last edited by a moderator:
lakini sasa kwenye mausianano hata ya wapenzi yapo ya kweli kabisa ila inategemeana tu na mnapendana kwa vipi.

hakuna kitu kama mapenzi ya kweli kati wa wapenzi; mapenzi yote yako kwa sababu kwa mfano, haja za kimwili, kupata watoto na familia, kulea, heshima kijamii, pesa na mali, urembo wa sura na tabia. Hebu jiulize mapenzi ya kweli nini, na kama yapo mbona watu wanaachana?

Wangapi umeona wamependa hadi wakabadilisha majina lakini mwisho wa siku wanagombana na kuachana kwa chuki kabisa.

Mapenzi ya kweli ni toka kwa aliyekuzaa na uliyemzaa tu; hata mkigombana vipi hakuna kuachana.
 
hakuna kitu kama mapenzi ya kweli kati wa wapenzi; mapenzi yote yako kwa sababu kwa mfano, haja za kimwili, kupata watoto na familia, kulea, heshima kijamii, pesa na mali, urembo wa sura na tabia. Hebu jiulize mapenzi ya kweli nini, na kama yapo mbona watu wanaachana?

Wangapi umeona wamependa hadi wakabadilisha majina lakini mwisho wa siku wanagombana na kuachana kwa chuki kabisa.

Mapenzi ya kweli ni toka kwa aliyekuzaa na uliyemzaa tu; hata mkigombana vipi hakuna kuachana.
Kweli kabisa....
attachment.php
 
Ukiona umeshindwa kabisa kuvumilia bi gfsonwin, Kaunga KOKUTONA, Freema Agyeman Yummy, cacico, BADILI TABIA, Catherine Roulette na ndugu zangu platozoom Kaizer Erickb52 Mtambuzi na Bishanga basi fanya maamuzi magumu ya kihehe. Lakini usisahau kumuaga aliyekumwaga ili maamuzi yako naye yamuumize kama alivyokuumiza.

attachment.php
platozoom hii like ni kwamba umeiseti kila post ya Asprin uigonge? hapa mimi naomba kitufe cha dislike mnake ni ushauri mbaya kabisa.

kujeruhiwa doesn,t mean end of life wala hakubadilisha ukweli kwamba wewe ni mwanadamu, and so far maisha hayaja maaanishwa kwa wale ambao hawajajeruhiwa bana maisha ni kwa wote the ishu here is struggle utoke ulipo.
 
Last edited by a moderator:
Unaongelea hao walioowa na unawasifia? Hao ndo mabazazi kabisa tena hawaeshimu ndoa zao, wana nyumba ndogo full then ni wasumbufu sana sana.

Wakati naandika post yangu, nilipoandika ..."na kukuheshimu kama mkewe"... ilikuwa nimeandika pia ..."na anaiheshimu ndoa yake"... Then Nilidelete kipengele cha kuheshimu ndoa, maana hapo pagumu. Tuishie tu kuwa anakuheshimu kama mkewe... usijali ana nyumba ndogo ngapi, but anakuheshimu...
 
hakuna kitu kama mapenzi ya kweli kati wa wapenzi; mapenzi yote yako kwa sababu kwa mfano, haja za kimwili, kupata watoto na familia, kulea, heshima kijamii, pesa na mali, urembo wa sura na tabia. Hebu jiulize mapenzi ya kweli nini, na kama yapo mbona watu wanaachana?

Wangapi umeona wamependa hadi wakabadilisha majina lakini mwisho wa siku wanagombana na kuachana kwa chuki kabisa.

Mapenzi ya kweli ni toka kwa aliyekuzaa na uliyemzaa tu; hata mkigombana vipi hakuna kuachana.

lakini ma dearest kwani hata wale ambao wanakufa wakiwa kwenye ndoa do you want to tell me kwamba wao walikuwa hawapendani? ama je walijilazimisha kuendelea kuish ama walipendana kwa uhalisia? sitaki kuamini kwamba bado kuna watu ambao hawataki kuamni kuna mapenzi ya kweli.
 
lakini ma dearest kwani hata wale ambao wanakufa wakiwa kwenye ndoa do you want to tell me kwamba wao walikuwa hawapendani? ama je walijilazimisha kuendelea kuish ama walipendana kwa uhalisia? sitaki kuamini kwamba bado kuna watu ambao hawataki kuamni kuna mapenzi ya kweli.


There you are....

Kuhusu mapenzi ya kweli, hakuna kitu kama hicho toka kwa mtoto wa mwenzio na habari ndio hiyo
 
kwangu mimi Tuko nimejifunza kupenda kuzuri ni kupenda kiuhalisia kwa kutumia akili na wala siyo moyo. hebu jiulize moyo huwa mnyonge siku zote na daima hujenga chumba ama wodi ya maumivu nafsini lakini ukipenda kwa akili basi itachukulia kama changamoto na kukutafutia alternative.

Ni kweli kabisa mdada. Kiuhalisia ni kuwa kupenda kunaambatana na nguvu kubwa sana ya hisia (moyo). Na hapo ndipo mtu uwe makini, ujifunze kuishinda hiyo hisia (moyo). Maana ukijifanya we mtaalamu wa kuendekeza hisia katika mapenzi, kwanza unakaribisha hali ya kuchokwa na kudharauliwa na mwenza wako, pili unajiweka katika risk kubwa sana ya kuumia vibaya siku ukitendwa.
 
platozoom hii like ni kwamba umeiseti kila post ya Asprin uigonge? hapa mimi naomba kitufe cha dislike mnake ni ushauri mbaya kabisa.

kujeruhiwa doesn,t mean end of life wala hakubadilisha ukweli kwamba wewe ni mwanadamu, and so far maisha hayaja maaanishwa kwa wale ambao hawajajeruhiwa bana maisha ni kwa wote the ishu here is struggle utoke ulipo.
Acha wivu nenda kagonge LIKE pale..... Usikompliketi sana maisha bana! Maisha ni mafupi enjoy!!

kls-wmk.php
 
The thing is, huchagui kuumia lkn it happens. Na msisitizo wangu, ni kuwa hakuna formular ya kuheal kikubwa ni kujitambua, kuukubali ukweli japo ni mchungu sana na kumove on; how do u move on it depends na mtu na mtu.

Asprin needs some alcohol, some need to be reassured kuwa wanathamani (kwa kuanza mahusiano mapya), some need to reflect (time) etc. N to me better way ni ile inayowork kwako.
 
Kweli kabisa....
attachment.php

hiyo mbona yaweza kuvumilika hata kama ni mwenzi wako? kwani CT akifanya haya utamfunganisha na virago? tena nikwambie siku hizi wanawake tumeamka aisee labda kwa winch nyumbani kwetu hatung'oki ng'o? yani ndani nshaingia atoke huyu anayetaka but mm kabisaaa ndani sitoki aisee.
 
The thing is, huchagui kuumia lkn it happens. Na msisitizo wangu, ni kuwa hakuna formular ya kuheal kikubwa ni kujitambua, kuukubali ukweli japo ni mchungu sana na kumove on; how do u move on it depends na mtu na mtu.

Asprin needs some alcohol, some need to be reassured kuwa wanathamani (kwa kuanza mahusiano mapya), some need to reflect (time) etc. N to me better way ni ile inayowork kwako.

now you have said it clear ma dear.
 
Back
Top Bottom