Don arl
Member
- Dec 2, 2016
- 39
- 21
Wanajukwaa! Nina wazo la kuanzisha microfinance, kwa mwenye uzoefu au ufahamu juu ya hili, minaomba tusaidiane. Nataka kufamu kuhusu namna ya kusajili, mtaji wake na pia taratibu mbali mbali muhimu za kisheria. Natanguliza shukrani za dhati.
NB: HOW TO START MICROFINANCE IN TANZANIA! ..
NB: HOW TO START MICROFINANCE IN TANZANIA! ..