Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

Aseehh...mtihani kweli ila km alichofanya ni Kweli kaharibu reputation ya nvhi,haya mambo tufanyieni nyumbani jamani mpk Kwa watu ni taifa la aina Gani hili...Anaharibia wengine pia
 
Mimi simu yangu aioneshi picha ila najibu kulingana na komenti za watu mimi hapo nashauri uyo mtoto aliye fanyiwa icho kitendo akimbizwe hospitali na huyo mtuhumiwa akamatwe afungwe kifungo cha maisha mana ataendelea kuharibu watoto wengine kama watamuacha huru
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa unadhan kupiga hela za UNDP ni kitu cha mchezo mchezo? Hii ni sifa mojawapo kwamba lazima uwe na akili sana kupiga hela za wenye akili.

We kaa kumjadil hapa like u gain anything.

Mnaacha kuwajadil wanaowaibia pesa zenu za kodi za kujenga vyoo na madarasa unamjadil anayeiba pesa za wazungu ambazo si jasho lako

Kama alitumia akili, mbona imegundulika Sasa?
 
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.

Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia

Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hoyce hajasoma? Uwiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.

Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia

Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn
Huenda ikawa since na u miss wake alikuwa kachero
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hoyce hajasoma? Uwiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
Form six Ndo Elimu yake nadhani na vikozi mshenzi mshenzi akaingia kwenye kusaidia watoto,akaolewaga na yule mbaba Mme WA mtu wa Zimbabwe sijui Zambia akaachika(hee huu Sasa umbea),Sasa hapa sijui yule bwana Ake au mmewe Ndo alimpigia cross pande huko UNDP but I think mmoja wa madanga yake Ndo alimfannyia ishu maana si alikua km mwanaharakati wa watoto so it was rahisi kupata kazi huko UNDP
Ila mim alivyochaguliwa nilidoubt sema Ndo hvyo tena maana riziki mtoaji Mungu
Hoyce huyu kashawahi kulewa akaanza kutoa mitusi mizito Instagram yaani mizito we huwezi tamka,huyu hoyce alionesha racism live live kwenye miss Tanzania ya Richa adhia!!!
Sometimes Mange tunamuona shoti ila mange anawajua Hawa watu nje ndani maana they used to be in the same circle ya wadada wa mjinj
 
Form six Ndo Elimu yake nadhani na vikozi mshenzi mshenzi akaingia kwenye kusaidia watoto,akaolewaga na yule mbaba Mme WA mtu wa Zimbabwe sijui Zambia akaachika(hee huu Sasa umbea),Sasa hapa sijui yule bwana Ake au mmewe Ndo alimpigia cross pande huko UNDP but I think mmoja wa madanga yake Ndo alimfannyia ishu maana si alikua km mwanaharakati wa watoto so it was rahisi kupata kazi huko UNDP
Ila mim alivyochaguliwa nilidoubt sema Ndo hvyo tena maana riziki mtoaji Mungu
Hoyce huyu kashawahi kulewa akaanza kutoa mitusi mizito Instagram yaani mizito we huwezi tamka,huyu hoyce alionesha racism live live kwenye miss Tanzania ya Richa adhia!!!
Sometimes Mange tunamuona shoti ila mange anawajua Hawa watu nje ndani maana they used to be in the same circle ya wadada wa mjinj
Hii hatari

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Form six Ndo Elimu yake nadhani na vikozi mshenzi mshenzi akaingia kwenye kusaidia watoto,akaolewaga na yule mbaba Mme WA mtu wa Zimbabwe sijui Zambia akaachika(hee huu Sasa umbea),Sasa hapa sijui yule bwana Ake au mmewe Ndo alimpigia cross pande huko UNDP but I think mmoja wa madanga yake Ndo alimfannyia ishu maana si alikua km mwanaharakati wa watoto so it was rahisi kupata kazi huko UNDP
Ila mim alivyochaguliwa nilidoubt sema Ndo hvyo tena maana riziki mtoaji Mungu
Hoyce huyu kashawahi kulewa akaanza kutoa mitusi mizito Instagram yaani mizito we huwezi tamka,huyu hoyce alionesha racism live live kwenye miss Tanzania ya Richa adhia!!!
Sometimes Mange tunamuona shoti ila mange anawajua Hawa watu nje ndani maana they used to be in the same circle ya wadada wa mjinj

Sina uhakika sana lakini alisoma sauti na Mara ya mwisho alikua anafanya PhD open. Hilo ndio nnalolifaham, sijui kama aliimaliza hiyo PhD lakini nna uhakika kwamba alikua anasoma.
 
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.

Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia

Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn

Umeingea point
 
Back
Top Bottom