Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

Nchi kama uswiz unampel3ka mtu ambaye uwezo wake mdogo na kuwa top hapo kuiwakilisha nchi
Hebu hii serikali iache kutoa vyeo vya kupeana peana
Ndomana cheo cha ubalozi sahv hadhi imeshuka sana

Ova
Hata mie naweza kuwa balozi km hvyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi simu yangu aioneshi picha ila najibu kulingana na komenti za watu mimi hapo nashauri uyo mtoto aliye fanyiwa icho kitendo akimbizwe hospitali na huyo mtuhumiwa akamatwe afungwe kifungo cha maisha mana ataendelea kuharibu watoto wengine kama watamuacha huru
Wewe acha upuuzi,hii sio insta.
 
Nchi hii ilianza kuharibika pale wanamuziki, Mamiss na waigizaji wa Bongo movies walipoanza kupewa nafasi nyeti serikalini! Hebu tuwe serious kidogo Kwan hao Mamiss na wanamuziki hawawezi kubaki huko kwenye kutoa burudani mpaka waje na huku serikalini na chamani kutuongoza?
 
Tuna wasomi kama wao , tuna vitabu kama wao, tuna vyuo vikuu kama wao ,tuna serikali kama wao ,tuna watu kama wao wanaume Kwa wanawake . Tunazaana kama wao ,tunakula kama wao,tunakunya kama wao ila tuna Rasilimali nyingi kuliko wao . Chaajabu tuna umaskini mkubwa kuliko wao.
Mzee umeongea kwa uchungu sana ila kuna point moja muhimu sana ambayo umei-miss. Ni kweli kabisa wenzetu wameendelea kutokana na sababu hizi ulizozitaja hapa, wakati sisi bado.

Hata hivyo, kinachopelekea sisi tuwe katika hali hii sasa pamoja na kuwa na reosurves nyingi mno ni WAO UKIUNGANISHA NA UWINGI WA RESOURCES AMBAZO SISI BADO TUNAZO

Nasema ni wao kwa sababu gani? Ni kwa sababu wao walishafikia sehemu waka-exhauxt resources zote walizokuwa nazo na ambazo ndiyo zilipelekea wakaweza kufikia hatua ya maendeleo waliyonayo sasa. Hii ni hatua moja nzuri mno kwenye maisha na ninawapongeza sana kwa hilo.

Still, baada ya kufikia hapo, they came to a HALT, huku wakituona sisi bado tunapiga makasia nyavu zetu zikiwa zimejaa samaki, huku za kwao zikiwa ni tupu.

KWA HALI HII, HAPA HATA KAMA NI MIMI, LAZIMA TU NITAFUTE NAMNA YA KUSHIRIKIANA NA WEWE HATA KAMA SI KWA HIARI YAKO

Tatizo tulilonalo sasa ni la kidunia, kwamba resources zimebaki sehemu moja ya dunia huku watu wakiwa wapo kila mahali duniani. Ni lazima tu resources hizo zitumike kwa kila mtu bila kujali nani anamiliki resources hizo. Kwa hiyo issue kubwa kabisa inayotuletea shida sasa hivi sisi ikiwa ni pamoja na wale walioendelea, ni resoiurces kuwa sehemu moja ya dunia huku zikiwa zinamilikiwa na wale ambao hawana nguvu, huku wenye nguvu wakiwa hawana.

Hapa uwezekano wa asiyekuwa na nguvu KUTOKA KIMAISHA pamoja na kuwa ndiye anayemiliki resources, unakuwa ni mdogo sana
 
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.

Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia

Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn
Siku za nyuma kabla ya kuwa balozi ilikuwa lazima uwe mwajiriwa wa Foreign Affairs; upandishwe madaraja hadi kufikia ngazi ya Balozi. Ilikuwa inachukua muda, Ila mtu anakuwa ameiva.

Siku hizi huo utaratibu ni kama umeachwa; anateuliwa mtu yo yote!!
 
Huko mitandaoni kuna Pepa la Hoyce Temu kutoka UN, Watasha wameropoka mbaya, Nimeliona kwa Mange kimambi na kwa @tzshadeeroom_backup inasemekana muwakilishi wetu huko Geneva alikua anazipiga sana chapaa za UN na alikua anatumia vyeo vya watu kupenya na kupiga mpunga. Yaani kwenye pepa ametajwa mdogo wake yule mtukanaji.

Dah UN wamemwaga ugali halafu huku sis ndio tumempa mboga apeleke huko Geneva kutuwakilisha kwa UN. Sasa sijui itakuaje?View attachment 2465517View attachment 2465520
Hii ni aibu ya mwaka.
CC: Mama ANNA MKAPA
 

Attachments

Hii ni sibu ya mwaka.
CC: Mama ANNA MKAPA
Hapa ndio umemaliza mzizi wa fitna.
Kinachoonekana baada ya mikwaruzano na ofisi ya Tanzania aliyoifanyia kazi awali na kuondokewa kazini, alikata rufaa Hadi Kwa SG.

Hukumu ya mwisho haijawa upande wake. Sasa hapo sijui hii itaathiri vipi ajira yake ya Sasa.

Inabidi wafanye manuva mapema ikiwezekana abadilishiwe majukumu.
 
Unadhani kwanini watanzania tunajulikana kama wezi na wavivu? Ni kwa sababu ya kuwa na watu wa aina hiyo, kule wanasema mtanzania na anatuwakilisha watanzania kuwa ndio tabia yetu hiyo..

Sasa kama unaona ni jambo ambalo halina impact yoyote kwa taifa basi sawa
Jamaa kaona ni jambo la kujisifia kabisaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom