Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu wana nongwaHii ni aibu ya mwaka.
CC: Mama ANNA MKAPA
Waziri WA mashauriano mambo ya nje Hili Nalo ukalitazame - kuna vijimaneno huko Mitandaoni kuwa kiongozi mmoja amefanyaje sijui huko UNDP.Wazungu wana nongwa
Mtu kukosea kujiaddress tu na kutoa vinfo viwili vitatu kuhusu manunuzi maneno kibao [emoji2]
Nimeona kesi yake Huko UN kumbe taarifa zipo sema wabongo sio wafatiliajiNi kweli, sehemu kubwa ya maendeleo ki elimu amaifanya baada ya umiss.
Unamuonea bure Mange amesema ukweli Hana ukidudu mtu wowoteIla Mange kimambi ni kidudu mtu haswa!
Unamuonea bure Mange amesema ukweli Hana ukidudu mtu wowoteIla Mange kimambi ni kidudu mtu haswa!
Siwezi weka Ile documents hapa afu sihasona vzr ngoja nikisoma ntakuambia ilivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua najua dada, ila nili mjoke huyo mtu. Ila mlongo wee hoyce kuwapiga UNDP sio rahis ujue, aliwezajeee au kuna mtu alikua nyuma yake?? Mie siamini km yeye binafsi ndo aliweza mmmh hapanaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi unaweza kuteuliwa ukiwa upo beach kidimbwi na unapangiwa kaziSiku za nyuma kabla ya kuwa balozi ilikuwa lazima uwe mwajiriwa wa Foreign Affairs; upandishwe madaraja hadi kufikia ngazi ya Balozi. Ilikuwa inachukua muda, Ila mtu anakuwa ameiva.
Siku hizi huo utaratibu ni kama umeachwa; anateuliwa mtu yo yote!!
Jamani kasoma UD lolBasi baadae alijiendeleza huko huko open maana mpk anashiriki umiss alikua hajagraduate so possible hapa kati alijiendeleza
Alipotamka hayo akapanda gari akaondoka.''Wizara ya mambo ya nje waziri upo hapa haya na hili mkalitazameni huko wizarani''
Hahaha. Taratibu nzuri zilizoainishwa katika Sheria za kazi hazifuatwi kabisa!Siku hizi unaweza kuteuliwa ukiwa upo beach kidimbwi na unapangiwa kazi
Ova
Mkuu umechefuka mbaya duuhWampeleke manara sasa huko UN
Ova
Duuh wamemsokota bara bara. Hv huyu dada ubongo wake ni mdogo!!??Hii ni aibu ya mwaka.
CC: Mama ANNA MKAPA
Kaka hatuna dharau, penye ukweli tuseme ili nchi iwe na nafuu.Acha dharau braza..
ImpersonationKuna wengi hapa ukiwauliza Hoyce Temu amefanya makosa gani, hawajui. Lakini wanamshushia rungu!
Wengine hapa lawama zao zinasomeka kana kwamba aliiba pesa.
Mfano kosa LA kuvujisha siri za shirika. Ni nani hajawai kufanya ili kosa? Hata huyo aliyempa dada wa Taifa siri za Hoyce amefanya kosa hilo hilo!
Huyo anayefanya vetting na yeye MPIGAJI.Jamani vetting system ya hii nchi iko wapi?
Hii thread mimi nilijua imesha-faint; kumbe bado inaendelea? Bora wewe umesemaKuna wengi hapa ukiwauliza Hoyce Temu amefanya makosa gani, hawajui. Lakini wanamshushia rungu!
Wengine hapa lawama zao zinasomeka kana kwamba aliiba pesa.
Mfano kosa LA kuvujisha siri za shirika. Ni nani hajawai kufanya ili kosa? Hata huyo aliyempa dada wa Taifa siri za Hoyce amefanya kosa hilo hilo!
Bwana tokea tar 25 mpk leo napiga bwax nmevurugwa kweli kweliMkuu umechefuka mbaya duuh