Watanzania wenzangu tusiwe wepesi wa kudanganyika na siasa za wote ni Watanzania.
Kama alivyosema mwana JF mmoja hapo juu, haifai kufananisha Unaigeria na Uhindi.
Ni muhimu tufahamu kuwa hata kama wote waliopata uraia wa kununua watajiita Watanzania lakini bado kuna Mtanzania halisi asiye na kwingineko zaidi ya Bongo...yaani mzalendo, achana kabisa na mipaka iliyowekwa na wazungu ili kurahisisha utawala wao
La sivyo African continent ingegawanyika ktk viinchi vya kabila moja moja kma vitaifa vidogo. Lakini bado kwa context ya rangi African continent refers to black colour people. Waarabu, Wahindi, Wazungu ni wageni tu. Angalia yaliomkuta Camila na Prince Charles na hayati Diana....yote haya ni kupigania asili.
Hawa wahindi wanaotunganya kuwa ni Watanzania, mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wengi walihamishia familia zao kwingineko hasa kwenda India, Canada, USA na UK. Lakini watanzania halisi hata wale wenye pesa zao walibaki hapa hapa.
Mwisho, naamini kama kuna mtanzania atakwenda kwenye mashindo ya aina hii na akajitambilisha kuwa atatumia kiswahili kujieleza ataruhusiwa tu kwani Miss world hawana lugha rasmi na kukataza lugha nyingine. Ni utumwa wetu wa kifikra ndio kinacho tufanya tusiamini kuwa Kiswahili hakitambuliwi.
Last but not least...Nilisikitika sana kuwa TFF wameandaa tiketi za mechi ya kirafiki kati ya Uganda na Tanzania zilizoandiwa kwa kiingireza...ingawa watumiaji wengi Kiswahili ndio lugha yao ya kwanza kabla ya kiingereza.
Tunahitaji kujikomboa kifikra ili hata mataifa ya nje waone kweli kuwa Kiswahili ni moja ya utambulisho wetu.
Ndimi,
Nsololi
Bwn Nsololi mimi nafikiri tofauti kati ya mimi na wewe ni kwamba wewe unaongea kidiplosia na unaongea UKWELI mtupu, na NI NAAPA KAMA NINAONGOPA BASI MIZIMU INIADHIBU WEWE NI MOJA KATI YA WTZ WACHACHE SANA HUMU WENYE KUELEWA JINSI DUNIA HII ILIVYO, NA WENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KIAKILI NA UNAONA MBALI SANA, UNAELEWA KABISA TATIZO LA NCHI LIPO WAPI, NA UNAELEWA NI KWA NINI HATUPIGI HATUA YA KIMAENDELEO, NA UNAELEWA KABISA KUA CHIMBUKO LA MATATIZO YOTE HAYA TULIONAYO NCHINI MWETU NA AFRIKA KWA UJUMLA NI LA KIFIKRA SISI TUNA ROHO NZURI SANA KAMA ANAVYOSEMA MWNKJI KWA KUMTETEA HUYO DADA WA KIASIA NA KUTULETEA MAMBO YA UMOJA WA MATAIFA YA BINADAMU WOTE NI SAWA NA KUANZA KUMUANDAMA DADA YETU TEMU MWENYE UCHUNGU NA NCHI YAKE NA WATU WAKE AMELIA SANA KWA MAANA NCHI YAKE NA WATU WAKE VINAMUUMA. HAYA MAMBO YA ULIPOZALIWA NDIO KWENU NA UNA HAKI SAWA NA WENYEJI HATA KAMA UNA ASILI YA KIGENI AMBALO NI WAZO ZURI LKN UKWELI NI KWAMBA DUNIA HII HAIPO HIVYO NA WATU KAMA MWKJI WANASHINDWA KUELEWA KWAMBA HAKUNA KITU KAMA HAKI SAWA KWA WOTE HICHO KITU HAKIPO, MWAKA JANA SHULE YETU YA SEKONDARI TULIENDA KUTEMBELEA JAPAN SEHEMU INAITWA MIYAZAKI NA KULE TULIONA BAR NA MADISKO YAMEANDIKWA JAPANESE ONLY NA SIO JAPANESE CITIZEN ONLY NA MTU MWINGINE UNARUHUSIWA TUU KAMA UKIANDAMANA NA MJAPANI, TUKAWAULIZA WATU WAKASEMA NI KAWAIDA HUKO JAPANI, NA JAPNI NI NCHI YA KIDEMOKRASIA INASIFIKA DUNIA NZIMA, NA NINAFIKIRI NCHI NYINGINE NI HIVYO HIVYO, JE KWA NINI SISI TUWE TOFAUTI ETI KWA SABABU MWALIMU NYERERE ALISEMA UKIWAULIZA KILA KITU MWALIMU ALISEMA KANA KWAMBA YEYE ALIKUA MUNGU NA KILA ASEMALO HALIPINGIKI, MWALIMU PIA ALISEMA TUWE NA SIASA ZA UJAMAA NA KUJITEGEMEA KWAMBA TUWEZE KUJITOSHOLEZA NA KILA KITU NA KWAMBA MABEPARI NI WANYONYAJI MBONA KAFIA HOSPITALI ZA ULAYA ZA HAO WANYONYAJI? KAMA YEYE ALIKUA SAWA KWA KILA KITU BASI ANGEFIA LUGALO NA SI KWINGINEKO.
MWISHO MIMI NASEMA HAWA WATU KAMA KINA MWKJI HATUWAHITAJI KTK NCHI YETU NA HUU NDIO MWANZO TUNAITAKA NCHI YETU DADA YETU TEMU AMETUFUNGULIA NJIA NA AMETUONYESHA KWA MACHOZI NA MIMI NASEMA MACHOZI YAKE HAYAENDI BURE NA SIKU ITAKUJA AMBAPO TUTAIMILIKI NCHI YETU NA WATU WOTE WENYE ASILI YA KIGENI NDIO WATAKUA DARAJA LA PILI NA SI KINYUME CHAKE.
Kuhusu suala la tiketi za uwanja nimeuliza swali la kutumia kiswahili humu ktk majadiliano na majibu yake napewa:
"Ndugu yangu kijakazi nionyeshe wapi imeandikwa kwa kisw ni lugha ya taifa"
"unajua ni rahisi kujieleza kiingereza kuliko kiswahili"
"unajua kiswahili ni kigumu sana" n.k
sasa sijui hilo nianze kujibu vipi. Tatizo ni kwamba UKWELI hatutaki kuukubali UKWELI NI KWAMBA NI ASILIMIA SI ZAIDI 5 KATI YA WTZ MIL 37+/- wanaoweza kuzungmza, kusoma na kuelewa kiingere za na mtz yeyote ambaye amezaliwa na kukulia tz anaelewa zaidi kisw/kienyeji zaidi ya lugha nyingine yeyote na huo NDIO UKWELI, na kama unapenda kwenda mbele basi ukubali kwanza...mengi yanakuja...............