Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda jumia kanunue laptop safi refurbished kwa pesa hiyo labda utaongeza 50 tu unapata laptop yenye core i5, kama jamaa anaona mzigo wako mdogo.400K Cash ipo hapa!!!
jumia ndiyo wapi mkuu maana mi mwenyewe nahitaji laptop ila mkono wangu ni mfupi nahitaji za bei ndogo ila ambazo zipo standardNenda jumia kanunue laptop safi refurbished kwa pesa hiyo labda utaongeza 50 tu unapata laptop yenye core i5, kama jamaa anaona mzigo wako mdogo.
Tumia smartphone yako vizuri mkuu ingia Google play type jumia Hao jamaa watakuletea kitu mpaka ulipo kama ukiwa Dar inclusive gharama ndogo ya usafiri ukiipenda bidhaa ndio unalipa pia wanaweza kukuelekeza duka husika,yani Hao sio duka ila ni platform inayomkutanisha muuzaji na mnunuzi.jumia ndiyo wapi mkuu maana mi mwenyewe nahitaji laptop ila mkono wangu ni mfupi nahitaji za bei ndogo ila ambazo zipo standard
Jumia hapati mkuu vitu vyao viko juu kinoma KUPATANA pekee ndipo mahala ambapo atapata kwa bei hiyo na used mpya hupaiti PC iliyo standardTumia smartphone yako vizuri mkuu ingia Google play type jumia Hao jamaa watakuletea kitu mpaka ulipo kama ukiwa Dar inclusive gharama ndogo ya usafiri ukiipenda bidhaa ndio unalipa pia wanaweza kukuelekeza duka husika,yani Hao sio duka ila ni platform inayomkutanisha muuzaji na mnunuzi.
Hapa tu notification yako imenikatisha nasaka Men watches nijipongeze kwa kufunga mwaka.
NB:Teknolojia inatusaidia kutatua matatizo yetu jaribu ujionew hutajuta wana varieties zote.
Sent from my LG-F320L using JamiiForums mobile app
zipo mkuu jaribu kupitia hapoJumia hapati mkuu vitu vyao viko juu kinoma KUPATANA pekee ndipo mahala ambapo atapata kwa bei hiyo na used mpya hupaiti PC iliyo standard
Kwaheri, labda usingeweka pichaNi used mkuu imetumika mwezi 1
Bora umemjibu na kumpa link wenzie tunashop vitu kibao jumia...kwa bei nzurizipo mkuu jaribu kupitia hapo
Notebooks | Buy Mini Laptops Online in Tanzania | Jumia Market (Kaymu)
Tafuta kwanza maana ya refurbished aliyosema jamaa...usije juta baadaejumia ndiyo wapi mkuu maana mi mwenyewe nahitaji laptop ila mkono wangu ni mfupi nahitaji za bei ndogo ila ambazo zipo standard
Unapatikana wapi?Laptop aina ya hp inauzwa
Hard disk 1TB
Ram 8 GB
Processor core i7
Bei laki nane(800k)
[HASHTAG]#0675990776[/HASHTAG]![]()
![]()
![]()
kwa nn unaiuza??Haina crack kuu hii PC?
Ngumu Kuamini hapo.Ni used mkuu imetumika mwezi 1
Hapo Sawa.mkuu yeye kanunua used na katumia mwezi mmoja
Jaman naomben msaada hivi processor hii unaisomaje AMD sempron(t) 34000 + 1.80GHZHapo Sawa.
cheza mbali na kitu used toka mikononi mwa mbobgo, otherwise uikague kuanzia ndani. kwa mwezi mmoja naweza kubaliana naye kama nayeye alinunua kwa MTU.Sio kweli kwa hizo pictures ina at least mwaka