Labda,Aliedit mkuu..haikuwepo mwanzoni
Mkuu mali hujauza hii mbona ofa yangu umeikataa kibabe... Heheheehee
Biashara maelewano mkuu Unataja bei yako ya mwisho tuMkuu tatizo siuzii njaa... PC Iko sokoni huku inanifaa mwenyewe.. Kwahyo atakayetokea na ofa ya maana namuachia ... Otherwise naitumia mwenyewe mzigo uko vyema tuu naendelea kuutumia mwenyewe