Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Tukihahahaaa kupata mil 5 ya mama.leoooi mpaka sasaaa sahani iasomaa ht yanga tumepigwa 2-0
kipindi cha pili tutapata goli kupitia mmoja wa mabeki wetu ama wa katiiiii
kama juhudi zikiendelea naona Yangawakipewa penalty ingawa zitakuwa zimebk dk nyiingi
hapa mashabiki mkitarajia timu drw mmoja anaamka na kumaliza sherehe za mwenzie
Kila la.kheri
kipindi cha pili tutapata goli kupitia mmoja wa mabeki wetu ama wa katiiiii
kama juhudi zikiendelea naona Yangawakipewa penalty ingawa zitakuwa zimebk dk nyiingi
hapa mashabiki mkitarajia timu drw mmoja anaamka na kumaliza sherehe za mwenzie
Kila la.kheri