Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye(khatimaye),sio Atimaye.Waasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.
Waasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.
Mbona unatafuta perfectionism mkuu are you really perfectionist? Duu haya bana Ni Aina ya nature ya watu. Nadhani Kama iyo nature Kuna mahala upo applicable na Kuna mahala hutokuwa applicable. Nadhani inatakiwa uletewe vitabu ama magazieti uharririHatimaye(khatimaye),sio Atimaye.
Ndo kamaliza juzi shule uyo......Mbona unatafuta perfectionism mkuu are you really perfectionist? Duu haya bana Ni Aina ya nature ya watu. Nadhani Kama iyo nature Kuna mahala upo applicable na Kuna mahala hutokuwa applicable. Nadhani inatakiwa uletewe vitabu ama magazieti uharriri
Sio "uharriri" ni uharriri mkuu (joking)Mbona unatafuta perfectionism mkuu are you really perfectionist? Duu haya bana Ni Aina ya nature ya watu. Nadhani Kama iyo nature Kuna mahala upo applicable na Kuna mahala hutokuwa applicable. Nadhani inatakiwa uletewe vitabu ama magazieti uharriri
Mrundi huyoHatimaye(khatimaye),sio Atimaye.
Usijali namie nimefanya purposely. We're socializing here na ndio Mana inaitwa social forum. Kila mtu anaji express freely kikubwa tu usivunje Sheria ama kudharau wenzakoSio "uharriri" ni uharriri mkuu (joking)
Mkuu ingependeza ungeweka na ‘link’ ya chanzo chako cha habari.Waasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.
Rwanda waache michezo michafuWaasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.
Wanarudi kwao kwa KagameWanaenda wapi na kufanya nini???