Hua unatulizaje Hasira.??

Ultimate

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
739
Reaction score
1,888
Hellow bosess;
leo saa tatu hii usiku kwa sababu zilizipo nje ya uwezo wangu kuna jambo lilinipa Hasira na kunikasirisha sana, nikajaribu kunyamaza ili zipungue nikaona haina matokeo ya haraka
Nikaa mau kuchukua ngua zangu chafu nikaenda kufua hasira nazo zikapungua sasa ivi fresh tu
Najikumbusha Now You See me 2 - MBC 2 hapa sina Hasira Hata chembe
Kama Hasira Ni hasara Hua unafanya nini kuepuka Hasira??
 
1. Kwanza nakaa mbali na chanzo cha Hasira. (hua naogopa kuchukuamaamuzi mabaya)
2. Siongei na mtu yoyote ata kwa saa 3 - 4 (Hapa hua naepuka Kungombana na tu mwingine, mtu anaweza akaniamba vp cyber nika mjibu tusi)
3. Kama mi mida ya mchana hua na vaa sweta naenda kutembea barabarani hata kuwe na jua kali kiasi gani
4. kama ni jioni siwezi kutoka naigia room naangalia movie kwenye pc huku nimevaa headphone. ukiniita hata kama nasikia siji
 
Inategemea na sehemu, ila mara nyingi tiba yangu huwa ni muziki pekee, nina earphone maalum zenye kutoa muziki mkubwa nasikiliza kwa dakika kadhaa akili inanikaa sawa.
 
Kukasirika kunakusogeza karibu na mauti. Nilivyogundua hili nimejitahidi sana nisikasirike, zamani ilikua kila nikikasirika naende kupiga gita.

Nilipohama eneo jingine sikukuta gita hivyo siku hizi nikikasirika hua napanda mnazi kwa mkono mmoja na hasira zinakata
 
Mimi nikiwaga na hasira huwa nakunywa sumu ama kujinyonga na siku moja niliwahi kujipiga risasi kisha nikajichoma mkuki nikafa!
 
Mimi huwa naenda kutembea su kukaa sehemu ambayo haina watu ili nitulize hasira kwa reasoning
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…