Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Tobaanavunja vunja vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tobaanavunja vunja vitu
😂 😂 😂 😂 😂 😂 aiseeUbo.o unachovyeshwa kwny JIK.
..hapo hasira inatulia, baada ya mda nanunua tena vile vituTobaa
Daah uko vizuri..hapo hasira inatulia, baada ya mda nanunua tena vile vitu
wewe hua unafanyaje ?Daah uko vizuri
wewe ni certified mwehu (idiot)1. Kwanza nakaa mbali na chanzo cha Hasira. (hua naogopa kuchukuamaamuzi mabaya)
2. Siongei na mtu yoyote ata kwa saa 3 - 4 (Hapa hua naepuka Kungombana na tu mwingine, mtu anaweza akaniamba vp cyber nika mjibu tusi)
3. Kama mi mida ya mchana hua na vaa sweta naenda kutembea barabarani hata kuwe na jua kali kiasi gani
4. kama ni jioni siwezi kutoka naigia room naangalia movie kwenye pc huku nimevaa headphone. ukiniita hata kama nasikia siji
mfano hauna mavi SASA?[emoji23]Naenda toi nafanya mambo yakiisha hasira zimeisha
upo karibu kuanza kupanda Kwa kutumia inyeplusKukasirika kunakusogeza karibu na mauti. Nilivyogundua hili nimejitahidi sana nisikasirike, zamani ilikua kila nikikasirika naende kupiga gita.
Nilipohama eneo jingine sikukuta gita hivyo siku hizi nikikasirika hua napanda mnazi kwa mkono mmoja na hasira zinakata
bado siku utatamani upapaswe na wanapapaso square ruvu shooting.Mimi nikiwaga na hasira huwa nakunywa sumu ama kujinyonga na siku moja niliwahi kujipiga risasi kisha nikajichoma mkuki nikafa!
ni mm huwa nakukaba shingoniHasira ni nini?
Me sijawai kuwa na hasira.
Sometimes it happens my mood inakuwa so down, unasikia kitu kinakaba shingoni ( hiyo ndio hasira)?
Nimeshasema mbonawewe hua unafanyaje ?
😁 😁 kwa ili sishangailazima nimmwagie povu aliyenikasirisha
[emoji23][emoji23] ulilitarajia hili jibu? Kwa nini?[emoji16] [emoji16] kwa ili sishangai