Huawei katoa Pura 70, hatari na nusu. Angalau milioni 5 kuikamata

Huawei katoa Pura 70, hatari na nusu. Angalau milioni 5 kuikamata

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Huawei amezindua series za Pura 70 nchini China ikifungua ukurasa mwingine wa maendeleo pamoja na vikwazo vya Marekani.

Ripoti zinasema simu hiyo imetumia zaidi vifaa vinavyotengezwa China kuliko simu yoyote Huawei imeshawahi kutengeneza kabla. Pamoja na hivyo bado Kirin 9010 inayotengezwa na Huawei kuendesha simu hiyo inaonekana bado iko nyuma kulinganisha na zinazotumika kwenye 'flagship' nyingine.

Sifa Zake
Huawei Pura 70.png
 
Sijaona kigezo cha msingi zaidi hapo cha kuifanya hiyo simu iwe na thamani ya kuuzwa milioni tano
Kwa leo niishie tu kukuambia hao jamaa wanapepo yao. Ufanisi wa device zao ni suluhisho tosha kwa kizazi kipendacho tech katika simu.

Mambo kama Internet of things, smart scroll na satelite network sio poa mzee. Nitaandika kesho vizuri niishie kukuambia p series neno p ksa huawei ndio hio Pura enjoi kijana
 
Kwa leo niishie tu kukuambia hao jamaa wanapepo yao .Ufanisi wa device zao ni suluhisho tosha kwa kizazi kipendacho tech katika simu ,Mambo kama Internet of things,smart scroll na satelite network sio poa mzee .Nitaandika kesho vizuri niishie kukuambia p series neno p ksa huawei ndio hio Pura enjoi kijana
Hivi kwa mfano nikikuuliza ni ipi sababu haswa ya hiyo simu inayofanya iwe na thamani ya kuuzwa milioni tano we utanipa vigezo gani?
 
DXOMARK wanahusika na kuzipa ranking smartphones.

Kwa upande wa camera HUAWEI Pura 70 imescore points 163 na kuwa ya kwanza duniani imeiizidi hata iPhone 15 Pro Max

KING OF MOBILE CAMERAS!

20240513_231501.jpg


20240513_231614.jpg
 
Even if you're driving on a bumpy road, even if your hand is shaking... you can still take clear photos by Huawei Pura 70.

 
Ni vile hatuna hela ,huawei wako far better kunlum glass ,kioo bora simu haivunjiki,
Os bora,
Kamera bora
Kiufupi ni top quality kabisa kwa kila kitu
 
Back
Top Bottom