King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Bei ya IST.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo sehemu ya kuweka hoja unaweka malalamikokajaa kabishi wewe unajifanyaga kila kitu unajua wakati wa mtoni mtongani tengeneza na wewe simu yako madako gako
Nimejibu hiyo feature ya AI ambayo ipo kwenye Pura, unaipata kwenye Google Pixel 4 tena ikiwa na high sensitivity zaidiGoogle Pixel 4 haijawahi hata kuifikia Huawei Mate 60 sembuse Pura 70
Eti Huawei ni kampuni ambayo kwa sasa inajitafuta. Najua hujui kuhusu Huawei ndio maana umeandika hizi pumbaHuwawei kwasasa ni kampuni inyojitafuta na inajaribu kuwa Extraordinary kwenye baadhi ya maeneo
Sio labda kwa sasa Pura 70 ndiyo simu bora upande wa kameralabda iwe vizuri upande wa Camera tu
Huawei inajitafuta Sokoni kwasasasa perfomance yake haina kitu kipya kuzidi brand kubwa , kama ni mfuatiliaji wa matoleo ya simu utagundua sasa hivi uptrend ya innovation kwanzia upande wa Chip , Camera na Processor imekuwa.sideways , sasa hivi ni mwendo wa kupambania ubora wa features.Eti Huawei ni kampuni ambayo kwa sasa inajitafuta. Najua hujui kuhusu Huawei ndio maana umeandika hizi pumba
Kirin 7nm 9010 chipChipset yake ya Kirin 7nm
Wewe ni masikiniHuawei inajitafuta Sokoni kwasasasa perfomance yake haina kitu kipya kuzidi brand kubwa , kama ni mfuatiliaji wa matoleo ya simu utagundua sasa hivi uptrend ya innovation kwanzia upande wa Chip , Camera na Processor imekuwa.sideways , sasa hivi ni mwendo wa kupambania ubora wa features.
Hio.simu sijaona kipya cha kuifanya iwe na thamani ya Milioni tano,Ninunue simu milioni tano nianze kutumia shortcut kibao kupata Google App kweli?
Akili za vilaza hizo mkuuNaposoma comments za wadau hapa, najifunza kuwa kumbe hata mtu akiiponda product yangu/yaoo hutakiwi kuchukulia kama big deal, just imagine mtanzania huyu kwenye platform ya Melo anaiponda Huawei, an experienced multibillions global corporation that survived the US sanctions!!...
Hatari kabisaa.
Hapa wala sio kuponda , hatuwezi kuizidishia sifa Huawei kwasababu imewekewa Vikwazo , inatakiwa isifiwe kwa Pace yao na sio kuhype kishabiki, Hio Pura 40 Pro na Ultra ni simu nzuri ndio lakini je inaendana na bei yake ya milioni tano kama mtoa mada alivyosema , hapa ndio msingi wa MjadalaNaposoma comments za wadau hapa, najifunza kuwa kumbe hata mtu akiiponda product yangu/yaoo hutakiwi kuchukulia kama big deal, just imagine mtanzania huyu kwenye platform ya Melo anaiponda Huawei, an experienced multibillions global corporation that survived the US sanctions!!...
Hatari kabisaa.
Huawei wanajitahidi ila waachane na salespoint ya We and them na wafocus kwenye kutengeneza kitu bora zaidi kitakachojiuza kuzidi android phones and IOS na mtu wa kuitetea kama wewe hutotumia nguvu nyingi hapa.Wewe ni masikini
HUAWEI mwaka jana wameuza HUAWEI Mate 60 simu milioni 30
Robo ya kwanza (Q1) mwaka huu wa 2024 net profit ya Huawei kwenye mauzo ya simu imepanda kwa 564%
Baada ya taarifa hiyo Marekani wakarevoke intel na Qualcomms kuexport chips kwa Huawei. But its too late
Na mauzo ya HUAWEI nchini China yameizidi iPhone ambayo yameshuka kwa 18%
Unafikiri kiteknolojia HUAWEI ni kampuni ndogo? Hao jamaa wako juu hata zaidi ya makampuni mengi ya WestHuawei wanajitahidi ila waachane na salespoint ya We and them na wafocus kwenye kutengeneza kitu bora zaidi kitakachojiuza kuzidi android phones and IOS na mtu wa kuitetea kama wewe hutotumia nguvu nyingi hapa.
Teknolojia ni mchezo wa mbio ukijikwaa kidogo tu unaachwa mbali Laps kadhaa na mpaka kuwafikia wenzako utatumia nguvu nyingi sana na hapa hakuna cha visingizio sijui vikwazo na nini..
Sawa kaka hamza, usisahau kushusha vitu kwenye groupHapa wala sio kuponda , hatuwezi kuizidishia sifa Huawei kwasababu imewekewa Vikwazo , inatakiwa isifiwe kwa Pace yao na sio kuhype kishabiki, Hio Pura 40 Pro na Ultra ni simu nzuri ndio lakini je inaendana na bei yake ya milioni tano kama mtoa mada alivyosema , hapa ndio msingi wa Mjadala