mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Tunakujua we ni appleMpaka nifikie kutumia fordable smartphones tech yake itakuwa matured mno. Kwa sasa bado hazijanivutia hata resale value yake ni ndogo sana maana vioo vyake haviwezi kamwe kuwa na mwonekano mzuri wa kioo cha kawaida.
Hapo mpaka sasa mmarekani anasemaje
Kadri wanavyotoa matoleo mapya wanaboresha vioo, ninayo foldable smartphone iko vizuri sana kwenye kioo nakaribia mwaka lakini haijapata alama yoyote na naitumia sana tu, kuhusu muonekano uko poa sana tena inaweza kuzidi hizo nyingine kwa mtizamo wangu lakiniMpaka nifikie kutumia fordable smartphones tech yake itakuwa matured mno. Kwa sasa bado hazijanivutia hata resale value yake ni ndogo sana maana vioo vyake haviwezi kamwe kuwa na mwonekano mzuri wa kioo cha kawaida.
Foldable naona sio simu ya kukaa nayo muda mrefu kama mwaka. Ikizidi inaanza kuleta show mbaya pale kwenye mkunjo, screen inaanza kama kutaka kukatika na vumbi au kitu kama ukungu inaanza kuingia. Pia zinataka ubadili sana cover na protectors kama unatumia.Kadri wanavyotoa matoleo mapya wanaboresha vioo, ninayo foldable smartphone iko vizuri sana kwenye kioo nakaribia mwaka lakini haijapata alama yoyote na naitumia sana tu, kuhusu muonekano uko poa sana tena inaweza kuzidi hizo nyingine kwa mtizamo wangu lakini
Kwenye kubadili protector uko sawa, maana protector zake zipo kama karatasi ngumu kwahiyo kupoteza gundi ni chap hasa kioo cha juu ikiwa imekunjwa, mkunjo ina limit yake ya kuikunja na kuikunjua kwa niliyonayo mimi haitakiwi kuzidi mara 200 kwa masaa 24,Foldable naona sio simu ya kukaa nayo muda mrefu kama mwaka. Ikizidi inaanza kuleta show mbaya pale kwenye mkunjo, screen inaanza kama kutaka kukatika na vumbi au kitu kama ukungu inaanza kuingia. Pia zinataka ubadili sana cover na protectors kama unatumia.
Kwenye kuwa na size ndogo ukizikunja ndio hapo nazipenda.
Fold ni unyama hasa hizi za Samsung ambazo zinafunguka kama pochi.Kadri wanavyotoa matoleo mapya wanaboresha vioo, ninayo foldable smartphone iko vizuri sana kwenye kioo nakaribia mwaka lakini haijapata alama yoyote na naitumia sana tu, kuhusu muonekano uko poa sana tena inaweza kuzidi hizo nyingine kwa mtizamo wangu lakini
Simu imetangazwa Jana tu kwa mara ya kwanza umeshaanza kuisemea haya . π Tumpe muda kidogo labda wamekuja na mabadiliko kidogo kutoka kwa wenzaoMpaka nifikie kutumia fordable smartphones tech yake itakuwa matured mno. Kwa sasa bado hazijanivutia hata resale value yake ni ndogo sana maana vioo vyake haviwezi kamwe kuwa na mwonekano mzuri wa kioo cha kawaida.
kwani unanunua kwa ajili ya watu wakuone au wewe kitu inapenda?UNAWEZA KUWA NA HIYO ILA MKIWA KWENYE MKUSANYIKO WA WATU ATAKAETOA IPHONE 15 NA WW UKATOA HIYO MACHO YOYE YATAMTAZAMA MWENYE MACHO MATATU
Sasa shida zote hizo za nini kpnzKwenye kubadili protector uko sawa, maana protector zake zipo kama karatasi ngumu kwahiyo kupoteza gundi ni chap hasa kioo cha juu ikiwa imekunjwa, mkunjo ina limit yake ya kuikunja na kuikunjua kwa niliyonayo mimi haitakiwi kuzidi mara 200 kwa masaa 24,
Hata kwa wenzetu ni kubwa hiyo siyo pesa ndogo Mkuu..πMe nahisi pesa yetu, maana $2,800 tu.
Kako very sexy kazuri kalainii kadogo dogo ukikakunja kanakaa kwa kiganja km ka calculator, rangi flani hiviiiiii kamgekuwa msosi ningekala kila sikuSasa shida zote hizo za nini kpnz
Kama pochi liko kiume sana kaflip katam mnoooo kama pisi flani hivi kaliiiiiiiiiFold ni unyama hasa hizi za Samsung ambazo zinafunguka kama pochi.
Yaan ulivyokasifia yaan hata shem angeona hii comment angeona wivu khaa!!Kako very sexy kazuri kalainii kadogo dogo ukikakunja kanakaa kwa kiganja km ka calculator, rangi flani hiviiiiii kamgekuwa msosi ningekala kila siku
π π π π ndo aliyeniletea basi ananitizamaga nikianza mbwembwe nako,, akiwa mbali atanikumbusha kuwa makini wasinikwapue,,,Yaan ulivyokasifia yaan hata shem angeona hii comment angeona wivu khaa!!
Ha ha haKama pochi liko kiume sana kaflip katam mnoooo kama pisi flani hivi kaliiiiiiiii
Naona umepaniki.Hajaandika kuhusu tolea la fordable phone bali simu imetoka jana wewe umeipima wapi kioo kuwa kibaya.Umeitumia lini ? Ungefafanua vizuri ili ueleweke.Unaishi kijiji gani uko ukute hapo uko juu ya mpapai unatafuta mtandao.
Nani kakwambia fordable smartphones zimeanza jana?
Zipo Samsung Z Flip 5 na Z Flip 6, Z Fold 5 na Z Fold 6. Oppo wana fordable zao Find N series N, N2 na N3. Huawei wenyewe wana fordable nyingine kabla ya hii. Ni kwamba unaishi vichakani na wasaga mashineni huwezi ona hizo simu au nini?
Ila tuacheni masikhara kwenye suala la ubinfu mchina kashindikana akiweza kumalizia na ubora basi shuguli imeisha.USA πΊπ² left the chat...