Huawei wamezindua simu ya kwanza kujikunja mara mbili. Base model ni Tsh Mil 7.8

Naona umepaniki.Hajaandika kuhusu tolea la fordable phone bali simu imetoka jana wewe umeipima wapi kioo kuwa kibaya.Umeitumia lini ? Ungefafanua vizuri ili ueleweke.
Wapi specifically nilitaja hiyo simu iliyokuwa imetoka jana yake?
Nilisema foldable kwa ujumla kwamba vioo vyake havina ubora na kudumu kama vioo vya kawaida.

Kuchanganua mambo madogo tu huwezi.
 
Duuhh oyaa hiyo simu ukiikunja kunja ili unitumie kama simu, upana wake hailingan na kibunda Cha Million Moja kweli?.
 
TAFUTA HELA WEWEE
 
ok.naitwa Francis R. Muganyizi.
kwa kifupi ukoo wetu wa mzee Rutashobya Muganyizi tutanunua izo simu si chini ya watu 25.

ukoo wetu akuna masikini,tuna marubani wa kimataifa 6.
C.E.O kimataifa 13.
Mainjinia wa kimataifa 7.
wahadhiri wa kimataifa 23.
Wanasheria nguri wa kimataifa 35.

amankurira bojo zingatia hapo neno"kimataifa"

nyie watani zetu wa mkoa wa Mara hamtakaa mnunue izo simu hata kije kizazi cha saba mbeleni huko.nyinyi mtabaki kuwa warinzi tu mmesikia?.
sawa?,sijui mmenierewa?
 
Only for fools who like to waste their hard earned money
 
Bongo nyoso mchongo uko kugumu😂
 
Wapi specifically nilitaja hiyo simu iliyokuwa imetoka jana yake?
Nilisema foldable kwa ujumla kwamba vioo vyake havina ubora na kudumu kama vioo vya kawaida.

Kuchanganua mambo madogo tu huwezi.
Sawa. Ila umeiponda simu kabla hata hujaiona. Comment yako iko wazi kabisa kuwa uliilenga hii simu na umedai tech yao bado ipo chini sana hivyo huwezi kutumia simu yao.
Sina D mbili hivyo uelewa wangu upo chini sana.
 
Sawa. Ila umeiponda simu kabla hata hujaiona. Comment yako iko wazi kabisa kuwa uliilenga hii simu na umedai tech yao bado ipo chini sana hivyo huwezi kutumia simu yao.
Sina D mbili hivyo uelewa wangu upo chini sana.
Huyu ni Pro west humuambii kitu ..kuhusu usa au wwnapaita mamtoni
 

Kuna maajabu gani kwenye mkunjo wa pili ikiwa mkunjo wa kwanza upo?
 
Sawa. Ila umeiponda simu kabla hata hujaiona. Comment yako iko wazi kabisa kuwa uliilenga hii simu na umedai tech yao bado ipo chini sana hivyo huwezi kutumia simu yao.
Sina D mbili hivyo uelewa wangu upo chini sana.
Kama hizi akili ndio unatumia kulelea familia basi hasara kwa taifa ni kubwa siku za mbeleni.

Mimi nazungumzia product range, wewe unazungumzia specific product. Kwanini unahisi foldable smartphones ni moja tu hii ya Huawei?

Mimi nazungumzia foldables zote za Samsung, Pixel, Huawei, Oppo, Tekno, etc zote as long as zinajikunja kwenye kioo na masharti yake ya kutosha. Hazina ubora sawa na vioo vya kawaida. Nilitarajia utapinga kitaalamu badala yake unaniletea ukilaza wako wa kutoelewa.
 
Basi niseme wewe ni mtabiri mzuri maana unaona mbele. Mimi nipo nyuma ya muda hata hio simu sina uwezo wa kuimiliki kwa hio kubishana hapa ni kama napoteza mda.
Endelea kusubiri tech itakayokuridhisha maana chaguo ni lako na uwezo wa kununua ni wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…