Huba Series ndani ya maisha bongo dstv - imekosa mvuto kwa story zisizo na uhalisia katika mazingira ya kawaida

Bongo film industry inaendeshwa na Ngumbaru wenzetu so utegemee jipya
 
Nikipataga muda huo bora nicheki Safari Chanel
 
Watu kuachana na kurudiana hovyohovyo,watu kuingia kwenye mapenzi na huyu kesho na yule inafundisha nini eti?yaani lengo la tamithilia ni nini?
Mpali wanajitahidi sana na ina uhalisia,ni aibu kwa mkongwe kama jb kuendelea kuigiza tamithilia ya vile ambayo lengo lake hata halijulikani
 
Yani ni ya hovyo mnoo , Nafkir wengi pale wameenda kuvuna Mpunga hakuna kingine

Hiyo Mpali ni tamthilia nzuri sana, Naipenda sana, Wa zambia wako serious na mambo yao
 
Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mheshimiwa Rais ....
 

If you're up for the challenge go for it. Tatizo la hii nchi kila mtu anapenda kulalamika fulani hajafanya this or that as if wao wamekatazwa kufanya hiyo kazi. Lalamika, toa solution au chukua hatua. Kulalamika tu is cheap.

Unakuta mtu hajasoma analalamikia wasomi as though yeye alikatazwa kusoma au kujiendeleza. Ni ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…