Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Watanzania tu ndio wanambabaikia hoko SA hamna anaemtambua nenda Kenya hana kiki kwao ndio kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] 90% Ya followers wake watanzania Sijui wananini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh zari kakuchukulia bwana wako nn maana kila koment una reply cyo kwa hilo povu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nani mwenye povu sasa ?!!!pole wewe unaemuona mungu wako...Si kwakuja huko mbio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha yasikufanye uwe na hasira ivo
 
Zari kasahau kama na yeye ni mmoja wa nyakunyaku anahisi tumesahau kama alimnyakua Chibu toka kwa Wema.

Correction: Wema dumped Diamond a few weeks before he met Zari. Diamond was single. Stop lying.
 
Mnakuzaaaa

Kweli na akili zenu mnafikiri Diamond atamvua pwichu huddah, mnaota kweli

Dongo lile limerushwa kwa hata akina naniliiu

Diamond na Zarinah foreva mahaba utamuuuuuuu
 
Zari kasahau kama na yeye ni mmoja wa nyakunyaku anahisi tumesahau kama alimnyakua Chibu toka kwa Wema.

Embu atulie huyo bibi kizee atuzalie tu Salama mtoto wetu.

Basi wewe lazima ujishangae huyajui na ukae kimya, sababu ulipitwa na wema aliporingishia kumuacha Diamond .kwa kutangaza kabla hata Diamond hajajua anaachwa.

Uliza uyajue yalikuwa waziiiiiiiii

Diamond kakukatana na Zari akiwa singo man, aliachwa akiwa hata mwezi haujafika... destini ikawa njiani...ndani ya ndege...upo hapo?

Wanapendana sababu kulikuwa hakuna mtu masaa hayo ya safari yao...ikipangwa hakuna wakupinga....
 
Nikisoma coments za watu

Nachelea kusema ZARI NI LEMUTUZ WA KIKE.

Yaani tofauti ya Zari na Lemutuz ni jinsia tu. Mind zao zipo sawa sana
 
Ujumbe murua kabisa, Dai aliumizwa sana na wema kuachwa wakati mapenzi ndio moto, mtoto wa kiume katuma zawadi ya gari kwenye birthday ya wema kijana akiwa sauz kazini kumbe dada ana mchepuko ukampa gari kali zaidi akaona ya Dai uchafu, Dai kaumizwa sana na wema, yaani anaemuona zari mbaya anajishaua tu eti mzee, mzee anabeba mimba?! kama Dai kaingia kaona size yake kwa nini asigande hapo? umri si tija tija mashine umeitunzaje si ajabu kwa wema Dai alikuwa anaelea tu wala hagusi kingo za kipenyo.
 
Nnavompenda ZARI nasoma comment alaf mahaba yanazid kwake.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] mange alikuwaga nayona hata kwenye baadhi ya blogs ipo!!!
Kitendawili tega " kinanuka lakini kinapendwa nini nini hicho bibi k****ma....haaa haaa haa nenda kwa mange ukacheke shost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…