[emoji3] [emoji23] [emoji3] [emoji3]Simpendi yule mwanamke anamadharau sana na roho yake mbaya na atasubiri sana kuolewa na domo nahisi hata domo anajuta wala huddah hajakosea kumpa kichambo na ustar wake Wa insta kama mzuri sana ana hela anautajiri mbona hakuna mwanaume alotokea kumuoa zaidi ya kuzalishwa ili asiumbuke mjini hovyooo
Mmmh hapo tena yuko na nanmbona enzi hivi alikuwa no editing?
Hiyo pic ya kwanza ndo Ivan?hakuna chura chura yupo ina maana mond ana mtambo wa chura au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wabongo ssWatanzania ni mwendo wa uluga luga kwa kwenda mbele...yaani zile comments 300 hadi 400 kwa siku insta kwenye page yake zote za wabongo...wabongo wanasifia hata picha ya penseli kisa zari kapost[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mmmmh baba tifa[emoji15] [emoji15] [emoji15]Chaaaa...shost humjui baba tiffa?!![emoji16] [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mange kawa madam et[emoji23] [emoji23] [emoji23]ahahaa mange sijamuona siku hizi kimyaa
hapana baada ya kuachana na ivan alikuwa na hyo anaitwa farouk alitoa mimba zake mbiliHiyo pic ya kwanza ndo Ivan?
Ngoja nikaangalieNenda kwa mange ukacheke na clip ya bibi na kitendawili
Duuuh huyu mwanamke kweli kahabahapana baada ya kuachana na ivan alikuwa na hyo anaitwa farouk alitoa mimba zake mbili
Sio wanatakana wamekulana kabisa while zari waz zea zea... (according to huddah) akasema domo sawa na pizza boy unaorder tu wakati wowote unapotakaKwani huda na diamond walikuwa wanatakana?
Wabongo malimbukeni.....View attachment 399559we niambie picha kama hii wabongo kule kwenye page yake wamekazana eti " Zari mungu kakubariki, umependeza sana" si uchizi huu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ...
Ujumbe murua kabisa, Dai aliumizwa sana na wema kuachwa wakati mapenzi ndio moto, mtoto wa kiume katuma zawadi ya gari kwenye birthday ya wema kijana akiwa sauz kazini kumbe dada ana mchepuko ukampa gari kali zaidi akaona ya Dai uchafu, Dai kaumizwa sana na wema, yaani anaemuona zari mbaya anajishaua tu eti mzee, mzee anabeba mimba?! kama Dai kaingia kaona size yake kwa nini asigande hapo? umri si tija tija mashine umeitunzaje si ajabu kwa wema Dai alikuwa anaelea tu wala hagusi kingo za kipenyo.
Huddah alipokuwa rafiki na zari, alimtukana Wema juu ya fake pregnanncyHapo nakubaliana naye Huddah juu ya respect kwa wengine ambao hawajazaa, ni kweli kabisa kuna watu walizaa hadi watoto kumi lkn Mungu akawachukua
Mgeli jua tunavyo mdharau Hudda Kenya je? Mwanamke malaya anajaribu kujisafisha lakini kwenye wakenya were class hafiki.Huddah anamuonea wivu zari, zari hajampita umri tu, hata mafanikio huddah hampati zari hata robo, kwa kuwa wote ni wauza K lakin mwenzao kalamba karata dume [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ivan alikuwa akimpiga sana Zari.Ukahaba
Mtu unakuta kwa mtoto wa 5 anakomaa kumdis zari. Yupe mwanamke kuwa na mvuto ule kwa umri wake nampongeza sana.heee wanawake wanatukaniana kuzaa... hee maajabu ya pili ya dunia.. wengine hapo mama zao walizaa watoto mpaka nane.. so their mother's are labor ward ambassadors?