Huddah akiri Juma Jux ni zaidi ya Diamond Platnumz katika kila nyanja!

Wacha watumie ila tumechoka kusema tuwachangie kila mara bana, mara serikali iingilie kati kuwanchangia, wakati wanapokula raha hatushirikishwi lakini mambo yakianza kwenda halijojo tunaambiwa kwa sauti kubwa tuchangie kisa oh sijui ameitangaza TZ, na tunasahau kuwa kila mtu kwa nafasi yake anaitangaza na kuikuza Tanzania na kila mtu atabeba msalaba wake, kama alivyosema aliyepata kuwa Waziri mkuu wa Tanzania Mzee Msuya.
 
Ndo hilo hilo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi siku hizi mbona kama haka kamchezo kanapendwa?
Mimi nilijua labda wale wasio na nguvu za kiume au homoni zao za kike ndio huamua kuliwa jicho...hata rijali anatoa jicho sababu nini?
 
duh izo nyonyo za uyo dem nimsalah
 
Hivi siku hizi mbona kama haka kamchezo kanapendwa?
Mimi nilijua labda wale wasio na nguvu za kiume au homoni zao za kike ndio huamua kuliwa jicho...hata rijali anatoa jicho sababu nini?
Maamuzi ya mtu binafsi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…