Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vipimo vinatoka wapi?Havinunuliwi?Na mchakato wa maji lazima fedha,nguvu na wakati vitumike.kwangu mm ni hizi hapa
1.vipimo vya afya
2.maji
ni mawaza yangu tu
Kula hotelini bure kwa yoyote!kwangu mm ni hizi hapa
1.vipimo vya afya
2.maji
ni mawaza yangu tu
Jamaa kuwaza hivyo tu basi ujue ana hali ngumu sanaYan upewe bure huduma ya maji? Unajua gharama zake? Unajua hiyo huduma imeajiri na kulisha familia ngapi? Kupitia hizo ajira zinachangia kiasi gani serikalini?
Sio tu Maji hata hiyo huduma ya vipimo vya afya jiulize hayo maswali pia.
Anatakiwa ajue ku reason mambo kwa kina sana haijalishi unapitia wakati mgumu/mzuri kiasi ganiJamaa kuwaza hivyo tu basi ujue ana hali ngumu sana
Sasa kuacha watu wanakunywa maji ya kinyesi si ndio mbaya zaidi? Hospitali zinajaa wagonjwa na kuongeza gharama kwa serikali ya mamaYan upewe bure huduma ya maji? Unajua gharama zake? Unajua hiyo huduma imeajiri na kulisha familia ngapi? Kupitia hizo ajira zinachangia kiasi gani serikalini?
Sio tu Maji hata hiyo huduma ya vipimo vya afya jiulize hayo maswali pia.
Kwangu mimi ni hizi hapa
1. Vipimo vya afya
2. Maji
Ni mawaza yangu tu
Safi sana.Kwangu mimi ni hizi hapa
1. Vipimo vya afya
2. Maji
Ni mawaza yangu tu
3. Kutembelea makumbusho bure Kwa wazawaKwangu mimi ni hizi hapa
1. Vipimo vya afya
2. Maji
Ni mawaza yangu tu
ElimuKwangu mimi ni hizi hapa
1. Vipimo vya afya
2. Maji
Ni mawaza yangu tu