B Prosper
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,527
- 4,097
Ongezeni tozo mtakavyo ila mkifanya haya kweli nitaamini Tanzania tunaweza na Tanzania litakuwa taifa la kuigwa ulimwenguni kote
-Elimu bure hapo tumeweza✔️
- Umeme bure
-Huduma za Afya bure
Walao tukifanikiwa katika mawili hapo juu basi Taifa hili litakuwa la kipekee sana hapa duniani
Siyo lazima tufanye yote kwa mkupuo, tukimaliza moja tunaanza lingine hata baada ya miaka mitano tukifanya moja ni maendeleo makubwa sana kitaifa, walao hadi 2035 tuyakamilishe hayo
NB Vyanzo vipya vya mapato vibuniwe ili kufidia gharama za huduma zitakazo tolewa bure. Mfano wa vyanzo hivyo ni
- Kuanzisha kiwanda cha kuunda simu, ili serikali ikusanye mapato ya kutosha baada ya kuuza simu hizo ndani na nje ya nchi
- Vyeti vyote vya ndoa vitolewe na serikali pekee, na ili kupata cheti hicho walao mhusika itabidi achangie kuanzia tsh laki moja kupitia mfumo rasmi wa kimtandao utakao wekwa
- Makanisa na misikiti yote wanapaswa kulipia kodi maana ni huduma hizo, walao kila kanisa/ msikiti wachangie kima cha chini 15000tsh kulingana na ukubwa wa kanisa/msikiti kwa mwezi na kwa makanisa makubwa au misikiti mikubwa wachangie 30000-40000tsh kwa mwezi
Ni hayo tu kwa leo,
Mpenda maendeleo
-Elimu bure hapo tumeweza✔️
- Umeme bure
-Huduma za Afya bure
Walao tukifanikiwa katika mawili hapo juu basi Taifa hili litakuwa la kipekee sana hapa duniani
Siyo lazima tufanye yote kwa mkupuo, tukimaliza moja tunaanza lingine hata baada ya miaka mitano tukifanya moja ni maendeleo makubwa sana kitaifa, walao hadi 2035 tuyakamilishe hayo
NB Vyanzo vipya vya mapato vibuniwe ili kufidia gharama za huduma zitakazo tolewa bure. Mfano wa vyanzo hivyo ni
- Kuanzisha kiwanda cha kuunda simu, ili serikali ikusanye mapato ya kutosha baada ya kuuza simu hizo ndani na nje ya nchi
- Vyeti vyote vya ndoa vitolewe na serikali pekee, na ili kupata cheti hicho walao mhusika itabidi achangie kuanzia tsh laki moja kupitia mfumo rasmi wa kimtandao utakao wekwa
- Makanisa na misikiti yote wanapaswa kulipia kodi maana ni huduma hizo, walao kila kanisa/ msikiti wachangie kima cha chini 15000tsh kulingana na ukubwa wa kanisa/msikiti kwa mwezi na kwa makanisa makubwa au misikiti mikubwa wachangie 30000-40000tsh kwa mwezi
Ni hayo tu kwa leo,
Mpenda maendeleo