Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Una maana gani hapa?Kupeleka waigizaji korea
Mimi mwenyewe sielewiUna maana gani hapa?
Wananchi tungeteseka mara kumi ya hapaMwanadam alivyokuwa na tamaa
Anatamani kama angeuza oxygen
Ova
Tena hawa kijani wanatamani wangetoza tozo oxygen tunayoitumiaWananchi tungeteseka mara kumi ya hapa
Hii napingana nayo. Elimu Bure inatakiwa kuwa hadi secondary tu plus ufundi. Vyuo vikuu na vya kati viongezewe ada wanafunzi walipe zaidi. Mtakuja kunielewa baadaeElimu Kuanzia msingi mpaka chuo iwe bure
Refer data za kipindupindu na magonjwa mengine ya kuhata then uje na hii commentWangapi wanakunywa kinyesi?
Mbona huduma ya chanjo kwa watoto ipo nzuri tu. Si watendaji watakuwa na viashiria vya kujipima?Watanzania tusipende vya bure, kwa nch yetu, huduma hizo zikiwa bure zitakuwa ovyo mara 20 ya zilivyo sasa
Nadhani wewe ndie uliyepaswa kuleta hizo data sio mimi tena.Refer data za kipindupindu na magonjwa mengine ya kuhata then uje na hii comment