Huduma gani zinazotolewa kibiashara na Makampuni mbali mbali ndani ya Dar es salaam ungetamani ziboreshwe?

Huduma gani zinazotolewa kibiashara na Makampuni mbali mbali ndani ya Dar es salaam ungetamani ziboreshwe?

Kariakooking1978

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
549
Reaction score
1,078
Hellow members, kama kichwa cha uzi kinavosema.

Je, ni huduma gani inayotolewa kibaishara na kampuni au taasisi flani ndani ya jiji la Dar es salaam ungetamani iboreshwe?

Taja jina la huduma, kampuni inayotoa hizo huduma, kero na maboresho ungetamani yafanyike.

Karibuni.
 
Back
Top Bottom