Kariakooking1978
JF-Expert Member
- Jul 11, 2023
- 549
- 1,078
Hellow members, kama kichwa cha uzi kinavosema.
Je, ni huduma gani inayotolewa kibaishara na kampuni au taasisi flani ndani ya jiji la Dar es salaam ungetamani iboreshwe?
Taja jina la huduma, kampuni inayotoa hizo huduma, kero na maboresho ungetamani yafanyike.
Karibuni.
Je, ni huduma gani inayotolewa kibaishara na kampuni au taasisi flani ndani ya jiji la Dar es salaam ungetamani iboreshwe?
Taja jina la huduma, kampuni inayotoa hizo huduma, kero na maboresho ungetamani yafanyike.
Karibuni.