A
Anonymous
Guest
Habari ndugu wadau!? Kuna nini kinaendelea kwenye mifuko ya uwekezaji UTT Amis?
Huduma zao kwenye upande wa kupokea simu imekuwa ni janga, hazipokelewi ziadi ya kukatwa. Hii inatia wasiwasi kwa watu tuliopo mbali na ofisi zao hatujui kinachoendelea kuhusu pesa zetu, lakini pia maswali mengi ambayo tunayo hayajibiwi kwa wakati, wakati simu zao wameweka na wameahidi kupokea na kujibu hoja za wateja wao.
Shida haiishii hapo, hata ukija kwenye mitandao yao ya kijamii utaona wanapost zao mpya kila siku lakini ukihoji nini kinaendelea, kwa nini customer care imekuwa chini hakuna anyejibu. Watujulishe wadau kama huduma ya simu haipo tena ili tujue inatulazimu kufika ofisini kwao hata kwa mambo madogo.
Huduma zao kwenye upande wa kupokea simu imekuwa ni janga, hazipokelewi ziadi ya kukatwa. Hii inatia wasiwasi kwa watu tuliopo mbali na ofisi zao hatujui kinachoendelea kuhusu pesa zetu, lakini pia maswali mengi ambayo tunayo hayajibiwi kwa wakati, wakati simu zao wameweka na wameahidi kupokea na kujibu hoja za wateja wao.
Shida haiishii hapo, hata ukija kwenye mitandao yao ya kijamii utaona wanapost zao mpya kila siku lakini ukihoji nini kinaendelea, kwa nini customer care imekuwa chini hakuna anyejibu. Watujulishe wadau kama huduma ya simu haipo tena ili tujue inatulazimu kufika ofisini kwao hata kwa mambo madogo.