Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Ulizaliwa njiti?Kwani lazima mpande hizo ndege mnazodai zina huduma mbovu? Au ndio ile maskini akipata.....kuna mashirika mengi ya ndege,kuendelea kuwalalamikia ATCL ni ushamba kutaka kutuonesha kwamba You Two idiots do travel.
ATCL ni zao la kodi zetu, tuna haki kukosoa ili isiharibu kodi zetu.
Mteja ni mbia katika usafirishaji hivyo kukodoa ni kuitengeneza kesho bora katika usafiri.