Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukitaka usihangaike tafuta connection mbali na hapo endelea kukomaaKaka sasa tutaishi maisha ya connection kwenye swala kama hili huoni kama.ni rushwa hiyo??Why connection??Huoni kama ni mbaya sanaa....Yaani ni book ticket na nilipe hela na nahitaji connection kweli ni sawa??
Tiketi si inakatwa online dakika sifuri tuHao ATCL customer service yao ni utopolo mtupu, ingawa saivi nina connection ila back then nimewahi kupata tabu sana kwenye ishu ya kukata ticket.
Dk 0 Au sioTiketi si inakatwa online dakika sifuri tu
Ongeeni na watu vizuri jengeni mahusiano yenye faida mimi swala la kupata tabu sehemu labda kama sina connection napo na hata kama sina ninayemjua najitahidi kuwa mchangamfu tabasamu la kutosha na kuongea vizuri na wahudumu ukiona mtu analalamika kweli kuna matatizo ila ushajua nchi yetu ni ya kuzingatia mambo fulani kwann usijiongeze......
Ni kweli, ukiwa na safari ya kuunganisha ndege ni afadhali uepukane na Air Tanzania, inatia aibu. Wanaweza kukutelekeza airport bila taarifa yoyote.