HahahahaNa ukipiga simu calling center ya TTCL kureport hilo tatizo anapokea bibi wa kisukuma anakujibu "mwanangu hilo tatizo lako hata mimi sijui nifanye nini"
Ila watu sijui tunafail wapi mtu analalamika kuhusu network mwisho wa siku ana be attacked kutokana na simu anayotumia,huu ni ujinga.Ttcl wanasumbua mno kuna maeneo ukifika hata line haisomi kabisa,me mwenyew nilishawishika nao na situmii tecno lakin tatizo linanikuta pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu umepiga code zipi kupata hii menu?
Mimi jana imenisumbua mno usiku narudi nawasha data inanizingua , toka mchana haikamati fresh .ttcl inasumbua sana leo nimeshtuka mbona whatsapp haziendi.
Upo wapi wewe?Sijui nyie mnaishi maeneo gani, au devices zenu zina shida gani. Natumia TTCL na sijaona hiyo shida hata mara moja.
Tunalifanyia kazi tatizo lako.Mimi jana imenisumbua mno usiku narudi nawasha data inanizingua , toka mchana haikamati fresh .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli...Sema kuna wengne hawana na wengne vinatofautiana...Mkuu hii ni kweli? Je unapiga namba zipi kupata hii menu?