Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Me pia Natumia simu yenye storage 32, ram 2 lakini tatizo Ni Hilo Hilo. Mfano tangu asubuhi haifungui hata picha za Facebook! Wakati Nina GB 5. TTCL kumbe Ni wapumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Line za tg tulizitelekeza kujiunga na bando. Narudi
Huku ndo rudi nyumbani kumenoga!
Hebu imagine nakaa katikati ya mjini centre napata mateso sana na huu mtandao.
Ushauri wa bure kama wewe ni mtu ambaye unafanya mishe zako mtandao au majukumu mbalimbali ambayo yanaitaji mtandao au unahitajika kila muda fulani uwe mtandaoni kwa muda muafaka usitumie TTCL.
Mtandao wao umekuwa wa ajabu sana unarudi na kupotea.
Kibaya ni kuna siku unaamka unakuta inasoma E tu na 3G yenye x hapo hata text za Whatsapp haziendi.
Tatizo limekuwa sugu na linajirudia kila siku yaani inamlazimu mtu kuwa na bando la ziada la mtandao mwengine maana wao hawaaminiki saa yoyote wanapotea na kuzingua mpaka masaa 6.
Customer care yao ndo jangaa unasubiri simu dakika 45 ndo wanapokea wanaboa kinyama.
Nimepata hasara sana kazi nyingi zinakuwa pending mtandaoni mtu anasema nafanya kusudi.
Wewe fikiria ndo nimejiunga bando la buku 5 kwa week halafu kutokana na mtandao wao kupotea potea nalazimika kuwa na bando jingine la mtandao mwingine ila wakipotea nitumie huko.
Hili ni bando la mwisho nikimaliza natupa line yao chooni hawana tofauti na continental decoder king'amuzi HD lakini no signal kila saa.
View attachment 1358094View attachment 1358095View attachment 1358096View attachment 1358097View attachment 1358098
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hicho cha 2500 kwangu 1500 tu
Nahisi harufu ya u tecno apa[emoji36][emoji36][emoji36]storage running out ..kanunue simu kwanza ndo urudi apa
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili hizo zinakusumbua....kwani tecno sio simu?wala hata sio tecno hiyoNahisi harufu ya u tecno apa[emoji36][emoji36][emoji36]storage running out ..kanunue simu kwanza ndo urudi apa
Sent using Jamii Forums mobile app
We unawaza makengeza kweli eti tatizo ni simu my foot!!!!!nina simu mbili Ulefone na infinix zote nikiweka ttcl mtandao unakua hivyo kujifanya much know huko vipi?Simu ina gb 8 ram itakuwa 1:mkuu tatizo ni simu sio TTCL Kwa storage hiyo lazma ije E . ...MAPS GO....GOOGLE GO ogopa hizo simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni upuuzi wa wajinga humu kaka wakati 95 ya watu wa jf wanatumia tecnoIla watu sijui tunafail wapi mtu analalamika kuhusu network mwisho wa siku ana be attacked kutokana na simu anayotumia,huu ni ujinga.Ttcl wanasumbua mno kuna maeneo ukifika hata line haisomi kabisa,me mwenyew nilishawishika nao na situmii tecno lakin tatizo linanikuta pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaMkuu pole. Kifupi hii mitandao ya simu yote imekuwa ya hovyo sana. Smile pekee ndio natumia now kwa ajili ya data.
Hamia smile hakika hutajuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio simu ni mtandao wao ttcl, kwa mfano Leo toka saa tisa usiku network ilikuwa inasumbua , imekuja kutengemaa saa Tatu asubuhi hii, na Nina simu yenye storage na ram za kutosha tuNahisi harufu ya u tecno apa[emoji36][emoji36][emoji36]storage running out ..kanunue simu kwanza ndo urudi apa
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kisenge hizo zinakusumbua....kwani tecno sio simu?wala hata sio tecno hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu huyu kwenye wall paper ndiyo shemeji yetu??Kwa uchuro huu bora nirudi tu voda japo ghaliView attachment 1358322View attachment 1358324
Sent using Jamii Forums mobile app