Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

Me pia Natumia simu yenye storage 32, ram 2 lakini tatizo Ni Hilo Hilo. Mfano tangu asubuhi haifungui hata picha za Facebook! Wakati Nina GB 5. TTCL kumbe Ni wapumbavu sana
 
Unaanzaje kutumia TTCL? Mkuu wewe ni me au ke?
Kwenye wallpaper yako nimeona picha ke matata sana, je ndiyo wew?
Huku ndo rudi nyumbani kumenoga!

Hebu imagine nakaa katikati ya mjini centre napata mateso sana na huu mtandao.

Ushauri wa bure kama wewe ni mtu ambaye unafanya mishe zako mtandao au majukumu mbalimbali ambayo yanaitaji mtandao au unahitajika kila muda fulani uwe mtandaoni kwa muda muafaka usitumie TTCL.

Mtandao wao umekuwa wa ajabu sana unarudi na kupotea.

Kibaya ni kuna siku unaamka unakuta inasoma E tu na 3G yenye x hapo hata text za Whatsapp haziendi.

Tatizo limekuwa sugu na linajirudia kila siku yaani inamlazimu mtu kuwa na bando la ziada la mtandao mwengine maana wao hawaaminiki saa yoyote wanapotea na kuzingua mpaka masaa 6.

Customer care yao ndo jangaa unasubiri simu dakika 45 ndo wanapokea wanaboa kinyama.

Nimepata hasara sana kazi nyingi zinakuwa pending mtandaoni mtu anasema nafanya kusudi.

Wewe fikiria ndo nimejiunga bando la buku 5 kwa week halafu kutokana na mtandao wao kupotea potea nalazimika kuwa na bando jingine la mtandao mwingine ila wakipotea nitumie huko.

Hili ni bando la mwisho nikimaliza natupa line yao chooni hawana tofauti na continental decoder king'amuzi HD lakini no signal kila saa.

View attachment 1358094View attachment 1358095View attachment 1358096View attachment 1358097View attachment 1358098

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simu ina gb 8 ram itakuwa 1:mkuu tatizo ni simu sio TTCL Kwa storage hiyo lazma ije E . ...MAPS GO....GOOGLE GO ogopa hizo simu

Sent using Jamii Forums mobile app
We unawaza makengeza kweli eti tatizo ni simu my foot!!!!!nina simu mbili Ulefone na infinix zote nikiweka ttcl mtandao unakua hivyo kujifanya much know huko vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila watu sijui tunafail wapi mtu analalamika kuhusu network mwisho wa siku ana be attacked kutokana na simu anayotumia,huu ni ujinga.Ttcl wanasumbua mno kuna maeneo ukifika hata line haisomi kabisa,me mwenyew nilishawishika nao na situmii tecno lakin tatizo linanikuta pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni upuuzi wa wajinga humu kaka wakati 95 ya watu wa jf wanatumia tecno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU NI HATA HALOTEL PIA...
unaweza kukaa unacheck youtube kitu mara unashangaa video haiendii, nacheki connection 3G ipo, nacheck bundle GB bado zipo... sasa nikawa najiuliza hivi labda itakuwa hizi simu janja zina namna ya kukata data labda zina note kama utakuwa umetumia internet kwa muda mrefu basi zikate


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nahisi harufu ya u tecno apa[emoji36][emoji36][emoji36]storage running out ..kanunue simu kwanza ndo urudi apa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio simu ni mtandao wao ttcl, kwa mfano Leo toka saa tisa usiku network ilikuwa inasumbua , imekuja kutengemaa saa Tatu asubuhi hii, na Nina simu yenye storage na ram za kutosha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uchuro huu bora nirudi tu voda japo ghaliView attachment 1358322
Screenshot_20200215-115823.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ukipiga simu calling center ya TTCL kureport hilo tatizo anapokea bibi wa kisukuma anakujibu "mwanangu hilo tatizo lako hata mimi sijui nifanye nini"
 
Back
Top Bottom