Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
"Tumefanya mageuzi makubwa ndani ya Shirika la @posta_tz. Lengo ni kuwa na Posta ya Kidijitali, Posta kuwa kitovu cha biashara mtandao na huduma za Pamoja.
Katika kutekeleza azma hii, Siku ya Jumatatu tarehe 6 Spetemba, tutazindua utaratibu wa Huduma Pamoja". Mhe. Faustine Ndugulile
Nimeona posta wamekusanya taasisi za serikali kwenye ofisi zao nikajiuliza hizi taasisi za serikali zinahusikaje na shirika la posta? NIDA imeshindwa kutoa vitambulisho unaipeleka posta ikafanye nn? Uhamiaji na magwanda wanaenda kufanya nn posta? Tra wanafanya nn posta? Ni utafiti gani ulionyesha nida ameshindwa kutoa vitambulisho kwa sababu anakosa one stop center? Possport zinahitaji one stop center? Link Kati ya nida card na passport na huduma za posta ipo wapi?
Nilichokigundua Ni kwamba zipo fedha za wahisani zimeletwa watu wametafuta njia ya kuzipiga wakaona wakusanye taasisi za uma sehemu moja kuwaridhisha wahisani kwamba Kuna mradi unaendelea.
Hakuna namna unaweza kunishawishi kwamba upo ufanisi katika dili hili la wakubwa....hapa fedha za wahisani zimepigwa. Mabilioni yakutengeneza one stop center kwenye ofisi za posta yangeweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kuboreaha miundombinu ya taasisi Kama ttcl na kukuza mtaji wa benk. Leo hakuna watu wanatuma parcel posta wanatumia DHL ambayo imejitosheleza, wanatumia mabus kwa percel za ndani, watu wanalipa kwa mtandao, ....posta posta posta mmekula pesa za wahisani au Kama Ni pesa za ndani Basi temeni ndoano
Katika kutekeleza azma hii, Siku ya Jumatatu tarehe 6 Spetemba, tutazindua utaratibu wa Huduma Pamoja". Mhe. Faustine Ndugulile
Nimeona posta wamekusanya taasisi za serikali kwenye ofisi zao nikajiuliza hizi taasisi za serikali zinahusikaje na shirika la posta? NIDA imeshindwa kutoa vitambulisho unaipeleka posta ikafanye nn? Uhamiaji na magwanda wanaenda kufanya nn posta? Tra wanafanya nn posta? Ni utafiti gani ulionyesha nida ameshindwa kutoa vitambulisho kwa sababu anakosa one stop center? Possport zinahitaji one stop center? Link Kati ya nida card na passport na huduma za posta ipo wapi?
Nilichokigundua Ni kwamba zipo fedha za wahisani zimeletwa watu wametafuta njia ya kuzipiga wakaona wakusanye taasisi za uma sehemu moja kuwaridhisha wahisani kwamba Kuna mradi unaendelea.
Hakuna namna unaweza kunishawishi kwamba upo ufanisi katika dili hili la wakubwa....hapa fedha za wahisani zimepigwa. Mabilioni yakutengeneza one stop center kwenye ofisi za posta yangeweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kuboreaha miundombinu ya taasisi Kama ttcl na kukuza mtaji wa benk. Leo hakuna watu wanatuma parcel posta wanatumia DHL ambayo imejitosheleza, wanatumia mabus kwa percel za ndani, watu wanalipa kwa mtandao, ....posta posta posta mmekula pesa za wahisani au Kama Ni pesa za ndani Basi temeni ndoano