Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
Niko hapa regency hospital..kwa kweli inasikitisha sana.wagonjwa wanalalamika,kauli na lugha mbovu mbovu za wahudum na manesi...upande wa mapokezi na maabara..gharama juu huduma mbovu,,in shot poor custom care urasimu mwingi ni bora hospitali zetu za manzese,mburahati na buguruni...nawasilisha.