Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kama kuna mtu mwenye Ilani ya chama cha Mapinduzi 2020 hadi 2025 atusaidie kufahamu kama ipo ahadi yakutoa huduma ya afya bure kwa mama na mtoto.
Kama ilikuwa ahadi maana yake haijatekelezwa na kama haikuwa ahadi hatuwezi kumuhukumu Chalamila. Labda tupendekeze iwe kwenye ilani za vyama 2025 kupelekea 2030.
Kama ipo kwenye ilani zao basi agenda iwe ni kama inatekelezeka au haitekelezeki.?
Kama ilikuwa ahadi maana yake haijatekelezwa na kama haikuwa ahadi hatuwezi kumuhukumu Chalamila. Labda tupendekeze iwe kwenye ilani za vyama 2025 kupelekea 2030.
Kama ipo kwenye ilani zao basi agenda iwe ni kama inatekelezeka au haitekelezeki.?