Huduma ya chakula Gronecy Kasulu mnafeli sana.

Huduma ya chakula Gronecy Kasulu mnafeli sana.

Kategele

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
1,055
Reaction score
2,466
Wale watu wa vyombo na Live band kwa mji wa Kasulu basi Gronecy ni fire. Ila kwenye chakula hamna kitu majanga order zinachelewa unaagiza chakula unapata ndani ya masaa mawili mpaka matatu. Kama una njaa na unategemea ule vyombo utapata madonda ya tumbo.​
Jirekebisheni Restaurant kubwa kama hii na inamilikiwa na jeshi kabisa inafanya mambo ya hovyo.
 
Hayo maeneo mengine Nyerere aliyang'ang'ania tu kuwa na empire kubwa hayakupaswa kuwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom