ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nimesafiri na mabasi kampuni kadhaa ambazo sitazitaja Kwa majina ili kutochafua biashara zao
Nimejihakikishia kwamba Kwa Hapa nyumbani ustaarabu wa kutumia vyoo ndani basi gari likiwa safarini Bado hatuwezi tukubali tu
Ni heri ukasafiri na bus lisilo na choo ndani kuliko kulipa pesa nyingi ya nauli ukiltegemea huduma ya choo ambayo itakukera tu
1. Vyoo vyenyewe ni Kwa ajili ya haja ndogo tu
Mabasi yote nilisafiri nayo yote yanahidhi haja ndogo tu
2. Kifaa cha kukinga mkojo kinajaa haraka
Hiki kifaa wakiingia watu watu kimejaa na kitahitaji kumwaga
Utashangaa ukitoka Mwanza kufika tu Shinyanga wanamwaga haja ndogo
3. Milango ni midogo na hewa hamna.
Yaani kama una kilo kuanzia 90 kale kamlango hupiti au upite kiubavu Kwa taabu
4. Hakuna faragha uwapo chooni
Vyoo havijatengwa Kwa jinsia yaani basi Lina choo kimoja tu
Kwa maana jinsia zote mnatumia choo kimoja pamoja na watoto hapo hamna faragha
5. Air freshener zinatoa harufu kali.
Ukitaka uugue mafua yasiyo pona jaribu kutumia vile vyoo
Ukiingia Kuna harufu kali wanapuliza inashika nguo ukifika watu wanakuuliza umejipaka pafyumu Gani,
Kumbe ni air freshener za choo cha basi
6.usafi hamna
Kufanya usafi hamna au wanafanya lakini wanashidwa
Choo ni cha mkojo ila Kwa watu kutojua unakuta mtu kaweka haja kubwa
Nimejihakikishia kwamba Kwa Hapa nyumbani ustaarabu wa kutumia vyoo ndani basi gari likiwa safarini Bado hatuwezi tukubali tu
Ni heri ukasafiri na bus lisilo na choo ndani kuliko kulipa pesa nyingi ya nauli ukiltegemea huduma ya choo ambayo itakukera tu
1. Vyoo vyenyewe ni Kwa ajili ya haja ndogo tu
Mabasi yote nilisafiri nayo yote yanahidhi haja ndogo tu
2. Kifaa cha kukinga mkojo kinajaa haraka
Hiki kifaa wakiingia watu watu kimejaa na kitahitaji kumwaga
Utashangaa ukitoka Mwanza kufika tu Shinyanga wanamwaga haja ndogo
3. Milango ni midogo na hewa hamna.
Yaani kama una kilo kuanzia 90 kale kamlango hupiti au upite kiubavu Kwa taabu
4. Hakuna faragha uwapo chooni
Vyoo havijatengwa Kwa jinsia yaani basi Lina choo kimoja tu
Kwa maana jinsia zote mnatumia choo kimoja pamoja na watoto hapo hamna faragha
5. Air freshener zinatoa harufu kali.
Ukitaka uugue mafua yasiyo pona jaribu kutumia vile vyoo
Ukiingia Kuna harufu kali wanapuliza inashika nguo ukifika watu wanakuuliza umejipaka pafyumu Gani,
Kumbe ni air freshener za choo cha basi
6.usafi hamna
Kufanya usafi hamna au wanafanya lakini wanashidwa
Choo ni cha mkojo ila Kwa watu kutojua unakuta mtu kaweka haja kubwa