mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Pia amuulize na Bashite.Kama una namba ya Wema Sepetu jaribu kumuuliza maana nae hivi karibuni alikua na hitaji hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia amuulize na Bashite.Kama una namba ya Wema Sepetu jaribu kumuuliza maana nae hivi karibuni alikua na hitaji hilo.
Muhimbili sijui, lakini kwa kairuki hospitali wanafanyaWapendwa poleni na majukumu.
Naomba kuuliza kwa anaefahamu kama Muhimbili wameshaanza huduma ya kupandikiza mimba na gharama.
Naomben kufahamu.
Safi kabsa,na mimi nmekandamizia hapo hapo.Acha kebehi mbwa wewe.
How much?Muhimbili sijui, lakini kwa kairuki hospitali wanafanya
lady in action soma hii comment itakusaidiaMuhimbili sijui,lakini kwa kairuki hospitali wanafanya
Wewe ni mojawapo ya vilaza wachache hapa JF. Kila point unaongea maandazi tu yani akili sifuri.Acha mambo ya Ulaya mimba zinatungishwa bureee kwa dushe tu
sasa siunywe mbegu tu !au mpaka wataalamuJaman Mume ninae na hana tatizo ...tatizo mirija yangu ya uzazi imeharibika haiwez kupitisha mbegu
pole sana dada. kwa tanzania nina mashaka sana na hizo huduma za kupandikiza, ni nje ya nchi tu dada yangu. Ila jaribu kuulizia sana nimewahi kusikia private clinic moja hiviJaman Mume ninae na hana tatizo ...tatizo mirija yangu ya uzazi imeharibika haiwez kupitisha mbegu
Ana akili za facebook.Wewe ni mojawapo ya vilaza wachache hapa JF. Kila point unaongea maandazi tu yani akili sifuri.
Hujiskii hata aibu, hata kama ni stress za umasikini wako ila usizimalizie kwa watu wenye shida wenye uhitaji wa jambo muhimu.sasa siunywe mbegu tu !au mpaka wataalamu
Umekurupuka unajua namaanisha nini?Hujiskii hata aibu, hata kama ni stress za umasikini wako ila usizimalizie kwa watu wenye shida wenye uhitaji wa jambo muhimu.
Sawa nimekuelewaUkishindwa Tz nenda Nairobi hospital wanafanya hiyo kitu.
Pole shemela na kaka yetu pia.Ikishindikana kabisa mruhusu kaka yetu apige mimba nje mpate watoto.
Hili mbona tatizo dogo linatatuliwa kwa chakula tu . NitafuteJaman Mume ninae na hana tatizo ...tatizo mirija yangu ya uzazi imeharibika haiwez kupitisha mbegu
Ushawahi kutoa mimba hapo kabla? Au kunywa vile vidonge au sindano?Jaman mume ninae na imeshindikana kwa njia ya kawaida sababu mirija yangu ya uzazi imeharibika
Hili nalo linaweza kuwa ni kisababishi et??Ushawahi kutoa mimba hapo kabla? Au kunywa vile vidonge au sindano?
Sawa nimekuelewa
Kwani wameshafungua mipaka?Ukishindwa Tanzania nenda Nairobi hospital wanafanya hiyo kitu. Pole shemela na kaka yetu pia.Ikishindikana kabisa mruhusu kaka yetu apige mimba nje mpate watoto.