Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

Nitashukuru ..nimetaja muhimbili sababu gharama zao walitangaza kuanzia 2m mpaka 10m nikaona nitaweza kuafford
0713 596 346 Dr Nicholous, unaweza mpigia, ukasikia pia gharama zao, naamini utaweza ku afford, wakati unasikilizia Muhimbili
 
hatajibu yupo Muhimbili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Brother mnaweza mkafanya masikhara, lakini Mambo ya uzazi yana complication Sana, Kama unaona unawapa tu mimba kirahisi Basi ni Jambo la kushukuru Mungu.

Acha wenye hizi shida wapate msaada kwa njia nyingine, Kuna process ili mimba iwezwe kutungwa, so inapo tokea shida kwenye mfumo ndio hapo Ina Anza changamoto ni kuwapa moyo na kuwaombea mafanikio,
 
Brother mnaweza mkafanya masikhara, lakini Mambo ya uzazi yana complication Sana, Kama unaona unawapa tu mimba kirahisi Basi ni Jambo la kushukuru Mungu.

Acha wenye hizi shida wapate msaada kwa njia nyingine, Kuna process ili mimba iwezwe kutungwa, so inapo tokea shida kwenye mfumo ndio hapo Ina Anza changamoto ni kuwapa moyo na kuwaombea mafanikio,
kweli kabsa
 
Hivi mfano mwanamke akapima yupo safi....tatizo ikawa kwa mwanaume kwamba mbegu hazipo na wanafanyeje na gharama shs ngap????
 
Hivi mfano mwanamke akapima yupo safi....tatizo ikawa kwa mwanaume kwamba mbegu hazipo na wanafanyeje na gharama shs ngap????

Kwa upande wa mwanaume inategemea na aina ya tatizo ulikokutwa nalo, mfano ukikutwa labda una mbegu dhaifu watakupa dawa na kukushauri kula aina fulani za vyakula kwa kipindi fulani ili kufanya mbegu ziwe na nguvu.

ila kama zimekufa sijui ngoja wajuzi zaidi watiririke.
 
Kwa upande wa mwanaume inategemea na aina ya tatizo ulikokutwa nalo, mfano ukikutwa labda una mbegu dhaifu watakupa dawa na kukushauri kula aina fulani za vyakula kwa kipindi fulani ili kufanya mbegu ziwe na nguvu.

ila kama zimekufa sijui ngoja wajuzi zaidi watiririke.
Kuna wengine n zero sperm. Inakuaje?
 
Sasa tangu waseme hiyo huduma itaanza kutolewa ni miaka imepita Mbona wanakuwa kama wabanaishaji?

Watu wanahitaji hiyo huduma kwa bei affordable.
 
Itabidi Mheshimiwa Rais Samia aingilie kati yeye kwa kuzingatia umuhimu na unyeti wa hii huduma aweze ku enforce utekelezaji wake kwa haraka na support Kama inahitajika.

Please Madam Samia intervene the situation
 
Wapendwa poleni na majukumu.

Naomba kuuliza kwa anaefahamu kama Muhimbili wameshaanza huduma ya kupandikiza mimba na gharama.

Naomben kufahamu.
Muhimbili walikua na mpango huo ila bado bado.but kuna dar ivf na maka ivf na avintacare wanafanya ivf.
Kwa dar ivf hua wanafanya wakishirikiana na ma dr kutoka Nairobi na gharama zao hua ni kuanzia mil 12-18 ina tegemea kiufupi uwe na takriban milion 15.unakua nanuhakika wa kupata huduma ila dar ivf hua na punguzo offer kuna kipindi hufanya kwa milion 7 au 8 au hata 5.vipindi vya offer zao sijui hua ni wakati gani maana hata mm nilipitia hiyo changamoto so wenzangu walikua wananishitua wakati wa offer mara nyingi walikua wananiambia now ni milion 7 ila sikuwahigi kwenda .pia jua unapofanya ivf mwanzo gharama ndo hua kubwa hivyo but baadae gharama hua inashuka sabab kuna baadhi ya vipimo hurudii kufanya kadri unapo pata failure unaporudia na gharama inashuka pia huu ndio umuhimu wa kufanyia ivf hapahapa dar ila nje ya nchi kila siku gharama hubaki juu na gharama za safari na accomodation basi hua juu.
Avinta care ipo arusha
 
Back
Top Bottom