Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

Asante kwa ushauri Bibi K.
 
Kwakuwa sehemu nyingi za masaji ukienda baada ya kufanyiwa masaji unaulizwa kama unataka huduma ya ziada,ukiuliza huduma zipi za ziada ambazo mnatoa ukiacha hii? wanasema kwamba Kuna kutuma Salamu,Kukwea Mnazi na Kuwezana!
Nimekuelewa mkuu Savimbi. Ila sio client yupo interested na hizo huduma za ziada hao unaoongelea mara nyingi huwa hawajakunwa siku nyingi au hakunwi vizuri sasa ndio ikitokea kama hivo kaenda kwenye massage ile kuhudumiwa zikipanda anashindwa kujizuia anaomba poo wanamalizana.
 
I swear before God,if you're caught doing this bla bla am telling you wanna suffocate,,,, yaani fanya kwingine ila ukibahatishwa ukakutwa na MWANAUME anayejitambua utaacha hii kazi bila kupenda, hata wewe jihadhari siku ukianza kusikia una upungufu wa nguvu za kiume usihangaike kutafuta vumbi la kongo,,, miongoni mwa sababu za wanaume wengi leo kuwa na Matatizo ya nguvu za kiume ni kuona uchi wa mwanamke mara kwa mara, just imagine wewe utakuwa umefikia kiwango gani? Kisaikolojia madhara yake ni makubwa mno ndio maana leo wanaume hawaoni sababu ya kuoa kwani wanashinda kila siku wanaangalia nyeti za wanawake kama muvi ya isidingo ,,,,,


Chukua tahadhari, unakufa taratibu kwenye sekta hiyo bila kujijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noted Chief.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…