Hiyo mpendwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1810676
Nihapo hapo, kama uonavyo chini hapo
Basi itakua imeamua tu kukataa kwangu mzee maana nafanya ivo ivo ila inagoma.Nihapo hapo, kama uonavyo chini hapoView attachment 1810682
Nope, kuna updates zinaendelea kwenye mfumo, so utapata relaxBasi itakua imeamua tu kukataa kwangu mzee maana nafanya ivo ivo ila inagoma.
ππ Mkuu una maisha mazuri sana, hao wajinga wa HESLB unaweza enda hata ofisini kwao ukawachapa na hivyo vijisenti vyao vilivyo bakiHiyo mpendwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1810676
Usihofu mkuu, hata mimi ilinizingua ila majuzi ikanikubalia... Subiria tuBasi itakua imeamua tu kukataa kwangu mzee maana nafanya ivo ivo ila inagoma.
Ila ya mwezi April inakubali.
π π Mkuu nimeona mabadiriko, sasa ole wako nisipande hilo daraja la mfugale, nitakufungulia kesi ya kunitia matumaini hewa... ILA COMMENT YAKO INAFARIJIMfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
Akifika watamuambia kuna Mil 3 zaidi tunakudai.ππ Mkuu una maisha mazuri sana, hao wajinga wa HESLB unaweza enda hata ofisini kwao ukawachapa na hivyo vijisenti vyao vilivyo baki
Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
Dah,Mkuu natamani hii hoja yako iwe kweli aiseeMfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
JF bhana! Ina wataaluma wengi kweli.Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
Bwana wee, acha ijiishie yenyewe tu[emoji16][emoji16][emoji23][emoji28] Mkuu una maisha mazuri sana, hao wajinga wa HESLB unaweza enda hata ofisini kwao ukawachapa na hivyo vijisenti vyao vilivyo baki
ππ π Watatutia aibu...Wazuie kila kitu ila watuachie Salary Advance...
Tungoje hadi June ifike tukachukue Loan statement tuone kama kweli Retention fees imefutwa...Akifika watamuambia kuna Mil 3 zaidi tunakudai.
Usiwakumbushe mzee.Wazuie kila kitu ila watuachie Salary Advance...
Mtaalam thibitisha maelezo yako.Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
πππππππ π Watatutia aibu...