LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Awamu hii ya mama mifumo inahujumiwa Sana, awe makini Sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo huu wa Lawson, tuliaminishwa, utakuwa muarobaini wa madeni kwa watumishi, ilionesha, muda wa kustaafu, kupanda cheo, kama hujalipwa mshahara n. k. Kilichomnufaisha mtumishi ni kuingiza makato ya mikopo tu, mengine hovyo tu, bora ufutwe. Sasa huo mfumo wa hcmis una sifa zipi?Lawson mkataba ulikuwa umeisha ndo maana ulikuwa unasumbua sasa hivi haitumiki tena wana mfumo wa mpya unaitwa hcmis huu umetegenezwa na sie Tz wenyeLawson mkataba ulikuwa umeisha ndo maana ulikuwa unasumbua sasa hivi haitumiki tena wana mfumo wa mpya unaitwa hcmis huu umetegenezwa na sie Tz wenye
Kama kimya kam haikuathiri.Watumishi mna shida,kila siku Ni kulalamika tu
Pole kwa mkwamo MkuuWizara ya fedha, tunaomba maelezo nini kinaendelea kwenye hii system ya salary slip portal kwani haitoa salary slip za mwezi May mwaka huu wa 2021. Salary slip za miezi ya nyuma zinapatikana.
Imefika hatua watu tunaanza kujiuliza iwapo huu ni muendelezo wa kinachoonekana ni hujuma kwa system za serikali au ni tatizo tu la kiufundi?
Tunaomba majibu kwani watumishi wanazihitaji hizo salary slip za online kwa matumizi mbalimbali kama kuchukua mikopo, n.k.
Mama Samia, kama unapita humu na huna taarifa, basi hali ndio hio hivyo tunaomba uingilie kati.
Nawasilisha.
Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
Upo isipokuwa salary slip ya may ndio shida !!
Mkuu mbona me siipati inasema not available.Unafanya kazi na salry slip ya may ipo mbona
Hiyo mpendwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mbona me siipati inasema not available.
Ipo labda kwako atiSalary slip ya may haipo,over.