Huduma ya Train Dar - Arusha ni fedhea

Huduma ya Train Dar - Arusha ni fedhea

Habari wana Jf
Kuna changamoto kadhaa kwenye tren zetu za Dar to Arusha/ Arusha to Dar la kuhusu huduma kwa ujumla hususani kwa watalii ambao wanatumia huu usafiri ni la kulifanyia kazi haswa ukizingatia
Kwa sasa wazungu /watalii wengi wanapanda hizi tren kama sehemu ya utalii au budget Transportation ila kuna vitu kama:

1 Lugha inayotumiwa ni Kiswahili peke yake kwa matangazo yote ya muhimu ila kwa ndugu zetu hawajui nini kinaendelea hii inapelekea watalii kuona hii huduma siyo kwajili yao kwakua hakuna system iliyowekwa kuhakikisha matangazo yote na taarifa zote zinazotelewa ndani ya usafiri huu zinamfikia kila mteja aliyepo ndani ya usafiri.

2 Muda.
Cha kushangaza zaidi hakuna kujali muda hata kidogo mfano tren inatakiwa kuondoka saa nane na wasafiri wote wapo hapo ila muda tren itaondoka ni tofauti na uliopangwa. Tangazo linatangazwa kwa Kiswahili kuwa moshi tunakaa saa moja na wasafiri wanakalishwa masaa mawili bila tangazo lolote linalosema muda umebadilika. Hii ni disappointment sana kwa service oriented industry kama transportation and tourism.

3.Restaurant/ Bar.

Mpangilio wa utoaji wa vinywaji na Chakula mbovu na haufamiki ni wa nchi gani. Ni bora kukawa na buffet mbili kulingana na class za tickets. Huwezi changanya buffet VIP na ya kawaida sehemu moja lazima kuwe na mpangilio wa kihuduma, wahudumu wengi wao wa bar na chakula hawajui hata namna ya kuwahudumia hawa ndugu zetu, poor communication skills, poor service, poor personal hygiene. Ni vitu vidogo vinavyoonekana kama havina umuhimu ila kimsingi vina umuhimu mkubwa kwakua wageni huwa wanalinganisha huduma wanazopata sehemu zingine na mwisho huwa wanatoa maoni yao kwenye platform kubwa za usafiri duniani kama TripAdvisor na Nina wasiwasi mkubwa kama hii train zetu zipo listed kwenye TripAdvisor.

4. Usafi.
Mazingira ya stations zetu sio rafiki hata kidogo ni chafu sana na viongozi wakuu wa shirika wapo hapohapo uchafu unatupwa hovyo na wahudumu wa treni wenyewe madirishani safari nzima na watalii wetu wanashika vichwa na kupiga picha. Sasa hii ni tunabomoa kabisa wala si kujenga kwakua Serikali haiwezi kutoa mabillioni ya pesa kutengeneza reli alafu ishindwe kusimamia usafi, this is a disgrace. Kesho mkiweza nendeni hapo Arusha ofisin kabisa mtaona uchafu wa wazi kabisa

Kuna mambo mengi ya kuangalia kwa kina kama tunataka kweli kuitangaza nchi yetu mana kuna vitu vingine havipaswi kuandikwa humu ila ningeomba viongozi wetu wa Utalii nao siku moja wapabynde huu usafiri wa treni ili waweze kupata point za kuzifikisha sehemu husika kwani watalii wanaopanda hii tren ni wengi na kama wataendelea kukutana na hali kama hii ni wazi hawawezi kuwashauri wageni wenzao kutumia huduma za reli za Tanzania.
Asante sana Kwa kuainisha bayana hii kero mamlaka zifanye kazi, vipi mipaka ya OSHA iko wapi , ni hatari sana
 
Habari wana Jf
Kuna changamoto kadhaa kwenye tren zetu za Dar to Arusha/ Arusha to Dar la kuhusu huduma kwa ujumla hususani kwa watalii ambao wanatumia huu usafiri ni la kulifanyia kazi haswa ukizingatia
Kwa sasa wazungu /watalii wengi wanapanda hizi tren kama sehemu ya utalii au budget Transportation ila kuna vitu kama:

1 Lugha inayotumiwa ni Kiswahili peke yake kwa matangazo yote ya muhimu ila kwa ndugu zetu hawajui nini kinaendelea hii inapelekea watalii kuona hii huduma siyo kwajili yao kwakua hakuna system iliyowekwa kuhakikisha matangazo yote na taarifa zote zinazotelewa ndani ya usafiri huu zinamfikia kila mteja aliyepo ndani ya usafiri.

2 Muda.
Cha kushangaza zaidi hakuna kujali muda hata kidogo mfano tren inatakiwa kuondoka saa nane na wasafiri wote wapo hapo ila muda tren itaondoka ni tofauti na uliopangwa. Tangazo linatangazwa kwa Kiswahili kuwa moshi tunakaa saa moja na wasafiri wanakalishwa masaa mawili bila tangazo lolote linalosema muda umebadilika. Hii ni disappointment sana kwa service oriented industry kama transportation and tourism.

3.Restaurant/ Bar.

Mpangilio wa utoaji wa vinywaji na Chakula mbovu na haufamiki ni wa nchi gani. Ni bora kukawa na buffet mbili kulingana na class za tickets. Huwezi changanya buffet VIP na ya kawaida sehemu moja lazima kuwe na mpangilio wa kihuduma, wahudumu wengi wao wa bar na chakula hawajui hata namna ya kuwahudumia hawa ndugu zetu, poor communication skills, poor service, poor personal hygiene. Ni vitu vidogo vinavyoonekana kama havina umuhimu ila kimsingi vina umuhimu mkubwa kwakua wageni huwa wanalinganisha huduma wanazopata sehemu zingine na mwisho huwa wanatoa maoni yao kwenye platform kubwa za usafiri duniani kama TripAdvisor na Nina wasiwasi mkubwa kama hii train zetu zipo listed kwenye TripAdvisor.

4. Usafi.
Mazingira ya stations zetu sio rafiki hata kidogo ni chafu sana na viongozi wakuu wa shirika wapo hapohapo uchafu unatupwa hovyo na wahudumu wa treni wenyewe madirishani safari nzima na watalii wetu wanashika vichwa na kupiga picha. Sasa hii ni tunabomoa kabisa wala si kujenga kwakua Serikali haiwezi kutoa mabillioni ya pesa kutengeneza reli alafu ishindwe kusimamia usafi, this is a disgrace. Kesho mkiweza nendeni hapo Arusha ofisin kabisa mtaona uchafu wa wazi kabisa

Kuna mambo mengi ya kuangalia kwa kina kama tunataka kweli kuitangaza nchi yetu mana kuna vitu vingine havipaswi kuandikwa humu ila ningeomba viongozi wetu wa Utalii nao siku moja wapabynde huu usafiri wa treni ili waweze kupata point za kuzifikisha sehemu husika kwani watalii wanaopanda hii tren ni wengi na kama wataendelea kukutana na hali kama hii ni wazi hawawezi kuwashauri wageni wenzao kutumia huduma za reli za Tanzania.
Hamna jambo likafanywa na CCM lisiambatane na aibu
 
Shida umeongelea sana kuhusu wazungu na sio watanzania wako!

Mkisha lipwa lipwa vihela vya kunywea maji na hawa jamaa huwa mnawanyenyekea sana na kutaka wawe first grade kila mahala.
Anyway weka point yako general vitu vikae sawa kwa ajili ya msafiri wa ndani na nje!

Pia kwa ajili ya kuvutia wasafiri wengi zaidi na ili mchi ipate mapato kuliko kukimbizana na vitu ambavyo sio sustainable.
 
Habari wana Jf
Kuna changamoto kadhaa kwenye tren zetu za Dar to Arusha/ Arusha to Dar la kuhusu huduma kwa ujumla hususani kwa watalii ambao wanatumia huu usafiri ni la kulifanyia kazi haswa ukizingatia
Kwa sasa wazungu /watalii wengi wanapanda hizi tren kama sehemu ya utalii au budget Transportation ila kuna vitu kama:

1 Lugha inayotumiwa ni Kiswahili peke yake kwa matangazo yote ya muhimu ila kwa ndugu zetu hawajui nini kinaendelea hii inapelekea watalii kuona hii huduma siyo kwajili yao kwakua hakuna system iliyowekwa kuhakikisha matangazo yote na taarifa zote zinazotelewa ndani ya usafiri huu zinamfikia kila mteja aliyepo ndani ya usafiri.

2 Muda.
Cha kushangaza zaidi hakuna kujali muda hata kidogo mfano tren inatakiwa kuondoka saa nane na wasafiri wote wapo hapo ila muda tren itaondoka ni tofauti na uliopangwa. Tangazo linatangazwa kwa Kiswahili kuwa moshi tunakaa saa moja na wasafiri wanakalishwa masaa mawili bila tangazo lolote linalosema muda umebadilika. Hii ni disappointment sana kwa service oriented industry kama transportation and tourism.

3.Restaurant/ Bar.

Mpangilio wa utoaji wa vinywaji na Chakula mbovu na haufamiki ni wa nchi gani. Ni bora kukawa na buffet mbili kulingana na class za tickets. Huwezi changanya buffet VIP na ya kawaida sehemu moja lazima kuwe na mpangilio wa kihuduma, wahudumu wengi wao wa bar na chakula hawajui hata namna ya kuwahudumia hawa ndugu zetu, poor communication skills, poor service, poor personal hygiene. Ni vitu vidogo vinavyoonekana kama havina umuhimu ila kimsingi vina umuhimu mkubwa kwakua wageni huwa wanalinganisha huduma wanazopata sehemu zingine na mwisho huwa wanatoa maoni yao kwenye platform kubwa za usafiri duniani kama TripAdvisor na Nina wasiwasi mkubwa kama hii train zetu zipo listed kwenye TripAdvisor.

4. Usafi.
Mazingira ya stations zetu sio rafiki hata kidogo ni chafu sana na viongozi wakuu wa shirika wapo hapohapo uchafu unatupwa hovyo na wahudumu wa treni wenyewe madirishani safari nzima na watalii wetu wanashika vichwa na kupiga picha. Sasa hii ni tunabomoa kabisa wala si kujenga kwakua Serikali haiwezi kutoa mabillioni ya pesa kutengeneza reli alafu ishindwe kusimamia usafi, this is a disgrace. Kesho mkiweza nendeni hapo Arusha ofisin kabisa mtaona uchafu wa wazi kabisa

Kuna mambo mengi ya kuangalia kwa kina kama tunataka kweli kuitangaza nchi yetu mana kuna vitu vingine havipaswi kuandikwa humu ila ningeomba viongozi wetu wa Utalii nao siku moja wapabynde huu usafiri wa treni ili waweze kupata point za kuzifikisha sehemu husika kwani watalii wanaopanda hii tren ni wengi na kama wataendelea kukutana na hali kama hii ni wazi hawawezi kuwashauri wageni wenzao kutumia huduma za reli za Tanzania.
Treni inafanya safari kati ya Dar Arusha, halafu unakerwa na matumizi ya kugha ya kiswahili kwenye matangazo! Ulitaka watangaze kwa lugha gani?

Kwani ikitokea umeenda kwenye nchi za hao watalii, na huko huwa wanatangaza kwa lugha gani? Mana maelezo yako karibia yote, yameegemea kwa hao watalii wako, as if ni watu special sana.

Kama unaona huduma ni mbovu, si uwashauri hao watalii wako wakodi magari maalum!
 
Treni inafanya safari kati ya Dar Arusha, halafu unakerwa na matumizi ya kugha ya kiswahili kwenye matangazo! Ulitaka watangaze kwa lugha gani?

Kwani ikitokea umeenda kwenye nchi za hao watalii, na huko huwa wanatangaza kwa lugha gani? Mana maelezo yako karibia yote, yameegemea kwa hao watalii wako, as if ni watu special sana.

Kama unaona huduma ni mbovu, si uwashauri hai watalii wako wakodi magari maalum!
Stupid mind. Unajua northern cirtcuit ni kituo kikubwa cha safari za kitalii Kuanzia Arusha National Park, Tarangire National Park, Lake Manyara National, Mount Meru, Mount Kilimanjaro all the way to Serengeti na kwingineko, unajua ni idadi ya wageni wangapi wana access huduma zetu za usafiri ikijumuishwa tren?. Je unatambua Kanda ya kaskazini specifically Arusha ni ya ngapi kwa kutembelewa na kutazamwa kwenye mitandao ya usafiri ya kimataifa duniani? Kuna vitu havikupaswa kuwa kero zetu kabisa kwa sababu ni nonsense. Kwaiyo swala la kuwa na lugha 2 za kutolea maelezo kwa wasafiri ni muhimu kwakua usafiri huu ushakua international kwaiyo na wewe punguza UJINGA kidogo kwa kuelewa ilo.
 
Stupid mind. Unajua northern cirtcuit ni kituo kikubwa cha safari za kitalii Kuanzia Arusha National Park, Tarangire National Park, Lake Manyara National, Mount Meru, Mount Kilimanjaro all the way to Serengeti na kwingineko, unajua ni idadi ya wageni wangapi wana access huduma zetu za usafiri ikijumuishwa tren?. Je unatambua Kanda ya kaskazini specifically Arusha ni ya ngapi kwa kutembelewa na kutazamwa kwenye mitandao ya usafiri ya kimataifa duniani? Kuna vitu havikupaswa kuwa kero zetu kabisa kwa sababu ni nonsense. Kwaiyo swala la kuwa na lugha 2 za kutolea maelezo kwa wasafiri ni muhimu kwakua usafiri huu ushakua international kwaiyo na wewe punguza UJINGA kidogo kwa kuelewa ilo.
Kwaiyo! Kwaiyo! .....kuelewa ilo! . .... kwakua! .....swala.! ....... usafiri huu ushakua...! Ona sasa! Hata kiswahili chenyewe tu, hujui! Halafu bado unataka matangazo kwa lugha za kigeni.

Jivunie lugha yako ya Taifa ewe punguani. Hiyo sababu yako ya kulazimisha matangazo kwa lugha ya kigeni, kubali tu haina mashiko.
 
- Hii treni ilifufuliwa kibishi na JPM.
  • Maboresho ni muhimu, Ila sioni kama ni kipaumbele cha shirika.
  • Wenye mabasi wanatamani ife haraka sana, na vifaa viuzwe vyuma chakavu. Ni vita ya kiuchumi ndani kwandani.
  • Uchafu na mswahili ni jamaa wanaopatana
Naongwmezea: kuingiza vumbi, yaani ukifika lazima uingie bafuni ubadili nguo, la sivyo hata vichaa wanaweza kukimbia.
Hasa kipande cha Arusha Moshi kina vumbi mno
 
Habari wana Jf
Kuna changamoto kadhaa kwenye tren zetu za Dar to Arusha/ Arusha to Dar la kuhusu huduma kwa ujumla hususani kwa watalii ambao wanatumia huu usafiri ni la kulifanyia kazi haswa ukizingatia
Kwa sasa wazungu /watalii wengi wanapanda hizi tren kama sehemu ya utalii au budget Transportation ila kuna vitu kama:

1 Lugha inayotumiwa ni Kiswahili peke yake kwa matangazo yote ya muhimu ila kwa ndugu zetu hawajui nini kinaendelea hii inapelekea watalii kuona hii huduma siyo kwajili yao kwakua hakuna system iliyowekwa kuhakikisha matangazo yote na taarifa zote zinazotelewa ndani ya usafiri huu zinamfikia kila mteja aliyepo ndani ya usafiri.

2 Muda.
Cha kushangaza zaidi hakuna kujali muda hata kidogo mfano tren inatakiwa kuondoka saa nane na wasafiri wote wapo hapo ila muda tren itaondoka ni tofauti na uliopangwa. Tangazo linatangazwa kwa Kiswahili kuwa moshi tunakaa saa moja na wasafiri wanakalishwa masaa mawili bila tangazo lolote linalosema muda umebadilika. Hii ni disappointment sana kwa service oriented industry kama transportation and tourism.

3.Restaurant/ Bar.

Mpangilio wa utoaji wa vinywaji na Chakula mbovu na haufamiki ni wa nchi gani. Ni bora kukawa na buffet mbili kulingana na class za tickets. Huwezi changanya buffet VIP na ya kawaida sehemu moja lazima kuwe na mpangilio wa kihuduma, wahudumu wengi wao wa bar na chakula hawajui hata namna ya kuwahudumia hawa ndugu zetu, poor communication skills, poor service, poor personal hygiene. Ni vitu vidogo vinavyoonekana kama havina umuhimu ila kimsingi vina umuhimu mkubwa kwakua wageni huwa wanalinganisha huduma wanazopata sehemu zingine na mwisho huwa wanatoa maoni yao kwenye platform kubwa za usafiri duniani kama TripAdvisor na Nina wasiwasi mkubwa kama hii train zetu zipo listed kwenye TripAdvisor.

4. Usafi.
Mazingira ya stations zetu sio rafiki hata kidogo ni chafu sana na viongozi wakuu wa shirika wapo hapohapo uchafu unatupwa hovyo na wahudumu wa treni wenyewe madirishani safari nzima na watalii wetu wanashika vichwa na kupiga picha. Sasa hii ni tunabomoa kabisa wala si kujenga kwakua Serikali haiwezi kutoa mabillioni ya pesa kutengeneza reli alafu ishindwe kusimamia usafi, this is a disgrace. Kesho mkiweza nendeni hapo Arusha ofisin kabisa mtaona uchafu wa wazi kabisa

Kuna mambo mengi ya kuangalia kwa kina kama tunataka kweli kuitangaza nchi yetu mana kuna vitu vingine havipaswi kuandikwa humu ila ningeomba viongozi wetu wa Utalii nao siku moja wapabynde huu usafiri wa treni ili waweze kupata point za kuzifikisha sehemu husika kwani watalii wanaopanda hii tren ni wengi na kama wataendelea kukutana na hali kama hii ni wazi hawawezi kuwashauri wageni wenzao kutumia huduma za reli za Tanzania.
Kwenye stesheni za hovyo nakuunga mkono Ila kwenye suala la lugha wasiojua kiswahili wajiongeze, mbona treni za ufaransa hawatangazi wala kuandika kiswahili?
 
Stupid mind. Unajua northern cirtcuit ni kituo kikubwa cha safari za kitalii Kuanzia Arusha National Park, Tarangire National Park, Lake Manyara National, Mount Meru, Mount Kilimanjaro all the way to Serengeti na kwingineko, unajua ni idadi ya wageni wangapi wana access huduma zetu za usafiri ikijumuishwa tren?. Je unatambua Kanda ya kaskazini specifically Arusha ni ya ngapi kwa kutembelewa na kutazamwa kwenye mitandao ya usafiri ya kimataifa duniani? Kuna vitu havikupaswa kuwa kero zetu kabisa kwa sababu ni nonsense. Kwaiyo swala la kuwa na lugha 2 za kutolea maelezo kwa wasafiri ni muhimu kwakua usafiri huu ushakua international kwaiyo na wewe punguza UJINGA kidogo kwa kuelewa ilo.
Kaa kushoto na lugha zako hizo, aliyekwambia hii treni inapitia tarangire au lake manyara ni nani?
 
Treni inafanya safari kati ya Dar Arusha, halafu unakerwa na matumizi ya kugha ya kiswahili kwenye matangazo! Ulitaka watangaze kwa lugha gani?

Kwani ikitokea umeenda kwenye nchi za hao watalii, na huko huwa wanatangaza kwa lugha gani? Mana maelezo yako karibia yote, yameegemea kwa hao watalii wako, as if ni watu special sana.

Kama unaona huduma ni mbovu, si uwashauri hao watalii wako wakodi magari maalum!
Mfano panda treni Ujerumani. Wanatoa matangazo kwa Kijerumani na baadaye Kiingereza, maana kuna watalii na wageni wengi. Hata ni kawaida kuona maelekezo kuhusu matumizi ya madirisha na bafu kwa lugha mbalimbali kama vile Kifaransa, kiitalia, kituruki,
 
jamani napenda kujua ratiba ya treni,kipindi cha sikukuu ilikuwa inatembea mara tatu wiki,je ni siku gani izo napenda kujua
 
Hapa Tanzania hakuna kitu ambacho serikali inaweza kuendesha kwa standard, kila kitu cha serikalini ni ovyo tu.
 
Back
Top Bottom