DOKEZO Huduma za Tiba Ocean Road hadi wagonjwa waandamane?

DOKEZO Huduma za Tiba Ocean Road hadi wagonjwa waandamane?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ocean road unazubiri 0700 - 2200 na hiyo ni normal. Hakuna anayejali. Unashangaa kwa nini appointment isiwe spaced mtu akaja kutibiwa ndani ya saa moja au mbili akaondoka?

Wewe unaona kukaa kusubiri bIla mrejesho (unknowingly) 0700 - 2200 ni sawa?

Kuwa hivyo ni bora zaidi? Ndiyo kauli yako hiyo ndugu?

Naona pana tatizo hapa. Kulikoni kutaka kudai utaratibu huu ni bora zaidi kuliko kusubiri 2/3 hours tu?
Fikisha concern yako sehemu inayohusika .... utawala
 
Ni shida sana na watu wanateseka mno. Labda hadi wagonjwa wale wajikongoje kwenda Magogoni. Nani wa kuwasemea wahanga hawa wakati vijana wenyewe ndiyo hawa kina Nkanini? Utegemee nini kutoka kwao kama si dharau na kejeli, ukiziangazia hali za wagonjwa hawa wasiokuwa na pa kusemea?
Mwenye nafasi unakimbilia JF ... umejaribu hata kufika ofisi za utawala hapo ORCI
 
Fikisha concern yako sehemu inayohusika .... utawala

Yote niliyoandika si mageni kwa Wagonjwa, wasindikizaji au wafanyakazi katika hospitali hiyo.

Ushauri wako siyo janja ya nyani hatimaye mdai tumewatukana mamba kabla ya kuvuka mto?
 
Mwenye nafasi unakimbilia JF ... umejaribu hata kufika ofisi za utawala hapo ORCI

Mwenye nafasi? Una maanisha nini hapo mjomba?

Kukimbilia JF ambako mama Samia pia hupita ni sahihi hasa kama kero hizi zimeendelea kuwapo Kwa muda mrefu na bila kushughulikiwa.

Kwani hamjui:

1. wagonjwa huja mapema asubuhi wakasubiri wee, na si ajabu wakapata tiba usiku?
2. Wagonjwa wa connection hawakumbwi na adha hizi.
3. Wagonjwa wanaopenyeza rushwa hawakumbwi na adha hizi.
4. Hadithi za mashine mbovu haziwaathiri #2 na #3 hapo juu.
5. Nk.

Kwani unadhani kufikia kuandika huku ni katika kushangilia?

Au mngependa tulalamike wazi wazi Ili mdai tumetukana mamba kabla ya kuvuka mto?
 
Mwenye nafasi? Una maanisha nini hapo mjomba?

Kukimbilia JF ambako mama Samia pia hupita ni sahihi hasa kama kero hizi zimeendelea kuwapo Kwa muda mrefu na bila kushughulikiwa Kwa muda mrefu.

Kwani hamjui:

1. wagonjwa huja mapema asubuhi wakasubiri wee, na si ajabu wakapata tiba usiku?
2. Wagonjwa wa connection hawakumbwi na adha hizi.
3. Wagonjwa wanaopenyeza rushwa hawakumbwi na adha hizi.
4. Hadithi za mashine mbovu haziwaathiri #2 na #3 hapo juu.
5. Nk.

Kwani unadhani kufikia kuandika huku ni katika kushangilia?

Au mngependa tulalamike wazi wazi Ili mdai tumetukana mamba kabla ya kuvuka mto?
usijibishane na mfanyakazi hewa huyu wa ocean road yaani yeye anajitetea tuuuu, mjinga sana huyo bwana , naudhika sana ninapoona watanzania wenzetu wanaopewa jukumu la kutuhudumia hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na wakiambiwa wanaanza kujiteteeeeeaaaaaa mjinga sana huyo mtumishi hewa wa hiyo hospitali. Watu wameshaandika mpaka kwenye masanduku yao ya maoni lakini wapiiii wao wanafuga vitambi tu pyumbaf zao
 
usijibishane na mfanyakazi hewa huyu wa ocean road yaani yeye anajitetea tuuuu, mjinga sana huyo bwana , naudhika sana ninapoona watanzania wenzetu wanaopewa jukumu la kutuhudumia hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na wakiambiwa wanaanza kujiteteeeeeaaaaaa mjinga sana huyo mtumishi hewa wa hiyo hospitali. Watu wameshaandika mpaka kwenye masanduku yao ya maoni lakini wapiiii wao wanafuga vitambi tu pyumbaf zao
Pia ni muhimu tukazingatia mazingira ya kazi ya hao watumishi yako vizuri? ikiwemo vitendea kazi, work load (nikimaanisha idadi ya watumishi kulinganisha na ukubwa wa kazi), motisha yakiwemo mishahara stahiki, posho, mafunzo nk. Kuna kipindi madaktari waligoma kutokana na mambo kama haya. Kama hatujawabana hawa viongozi na watawala watekeleze wajibu wao kwa wananchi badala ya kubaki kufanya ubadhirifu tutapiga makelele sana lakini hakuna kitakachoboreka kwenye huduma za wananchi zikiwemo huduma za afya.​
 
Pia ni muhimu tukazingatia mazingira ya kazi ya hao watumishi yako vizuri? ikiwemo vitendea kazi, work load (nikimaanisha idadi ya watumishi kulinganisha na ukubwa wa kazi), motisha yakiwemo mishahara stahiki, posho, mafunzo nk. Kuna kipindi madaktari waligoma kutokana na mambo kama haya. Kama hatujawabana hawa viongozi na watawala watekeleze wajibu wao kwa wananchi badala ya kubaki kufanya ubadhirifu tutapiga makelele sana lakini hakuna kitakachoboreka kwenye huduma za wananchi zikiwemo huduma za afya.​
kazi nyingine ni wito mkuu huwezi ukawa mhudumu wa afya anakuja mama anakaribia kujifungua wewe unaacha kumhudumia ati kisa una madai sijui ya posho sijui takataka gani haiwezekani kama kazi hiyo haikusaidii acha kuna ambao wanaihitaji, ama mtu anakuja kajeruhiwa na ajali anahitaji attention ya haraka huwezi kuleta kisingizio cha aina yoyoye ile, waliowahi kuuguza ama kuugua wanaielewa hii hali, usiombe upoteze ndugu kwa uzembe wa hawa jamaa unaweza kuua muuguzi ama daktari amini maneno yangu.
 
kazi nyingine ni wito mkuu huwezi ukawa mhudumu wa afya anakuja mama anakaribia kujifungua wewe unaacha kumhudumia ati kisa una madai sijui ya posho sijui takataka gani haiwezekani kama kazi hiyo haikusaidii acha kuna ambao wanaihitaji, ama mtu anakuja kajeruhiwa na ajali anahitaji attention ya haraka huwezi kuleta kisingizio cha aina yoyoye ile, waliowahi kuuguza ama kuugua wanaielewa hii hali, usiombe upoteze ndugu kwa uzembe wa hawa jamaa unaweza kuua muuguzi ama daktari amini maneno yangu.
Mkuu hao watu nao wapo conscious na maslahi yao na mazingira ya kazi ndo maana huwa wanagoma wakati mwingine.

Hili la kusema ni wito haliwezi kuchukuliwa kama kisingizio cha kukandamiza maslahi yao na mazingira yao ya kazi huku wakiona na kusikia wengine wakijipimia kwenye urefu wa kamba na kulamba asali kiulaini.

Neno wito haliwezi kumletea ugali mezani mhudumu wa afya au kumpa mahali bora pa kuishi. Nao ni binadamu wana familia na wana mahitaji ya msingi ambayo hayawezi kuletwa na neno wito bali kwa kujali maslahi yao na mazingira yao ya kazi.

Jamaa hapo juu kasema wale wanaonyoosha mkono wanawahi kupata huduma, lazima hapo kuna shida ya kimaslahi.

Tukiendelea kuwachekea viongozi na watawala wabadhirifu wasiojali kuhakikisha huduma za wananchi zinatolewa kwa ubora na ufanisi kwa kufanya uwekezaji kwenye vitendea kazi na maslahi bora ya watumishi tutabaki kuwa walalamikaji miaka nenda rudi.​
 
mitambo ya Ocean road ni michakavu na wagonjwa ni wengi hili ndo Tatizo kubwa! Kinachotakiwa ni Serikali kununua mitambo ya Kutosha

Angalia uzi huu:

Leo tuwachane madaktari na manesi kujiona wadogo zake Mungu

post #24 inahusika.

"Kwani mashine ni mbovu basi? Mbona njuluku zikipenyezwa kupitia hao medical attendants 'selectively' wagonjwa wanatibiwa?"

Angalia pia uzi huu:

Rais tusaidie MRI ya Muhimbili MOI itengenezwe

Post #2 inahusika:

"Ocean road ukisikia leo matibabu ya mionzi hamna machine ya radiation mbovu, wewe tupia rupia tu."

Cc: Retired, Chama Baleke
 
Back
Top Bottom