Huenda CHADEMA ni CCM na CCM ni CHADEMA lakini mbele ya kamera wanatuzuga!

Huenda CHADEMA ni CCM na CCM ni CHADEMA lakini mbele ya kamera wanatuzuga!

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,052
Reaction score
2,995
Ndugu zangu siasa ni kitu kigumu Sana si kitu cha kuji husisha nacho Sana

Nakumbuka kipindi Dkt. Slaa anagombea kiti kile kikuu kwa tiketi ya chadema alionekana wazi wazi kwamba huenda akawa ndiye next Tanzania President kupitia upinzani kwa wakati ule.

Hasa ukiangalia mtiti aliokuwa anaukusanya kwenye mikutano yake.

1723740751711_1.jpg
Lakini gafla ikatokea mzee huyu akapigwa chini, hatujakaa sawa Lowassa akawa mgombea!

Hapa huwa najiuliza sijui nini kilifanyika na ninani aliratibu mchezo ule na kwa maslahi gani mpaka akamwingiza fisi awa pambanie kondoo haki zao, nashindwa kupata jibu.

Baada ya muda akatokea mzalendo na mjuzi wa Sheria mwenye uchungu wa dhati na inchi yake aliye kuwa tayali hata kuyatoa maisha yake kwa inchi yake.

Mtu huyu baada ya kuonyesha uthubutu ambao haukuwai kufanywa na wapinzani wengine kabla ghafla akashambuliwa kwa risasi na kulazwa kwenye hospital ambayo kwa hali yake na mazingira yaliyo kuwepo hakustahili kulazwa pale, lakini hapo hapo akatokea mtu kutokea chama pinzani na Lissu na mtu huyo kwa kibali chake Lissu akaenda kulazwa Kenya ambapo huko alisafirishwa mpaka ughaibuni kwa ajiri ya matibabu yake mpaka kupona kwake.

Na kipindi wakati yupo hapo Kenya ali tembelewa kwa ajiri ya kujuliwa hali na Rais wetu wa sasa Rais Samia kabla ya kwenda kutibiwa nje huko.

Sasa najiuliza kwanini mtu wa chama pinzani na Lissu aliamua kumsaidia huyu bwana kumtoa hapa mpaka Kenya wakati huohuo Lissu akiwa mpizani wake?

Je, tu huyo wa chama pinzani na Lissu alitegemea nini kutoka kwa Lissu baada ya kupona? Hilo nalo bado nifumbo linalo hitaji kulifumbua.

Kikubwa zaidi kinacho shangaza huyo huyo Lissu ndiye mpinzani mkubwa wa sasa wa Samia, na Samia ndiye mtu aliyeenda kumtakia hali akiwa huko Kenya pamoja na kuchimbwa mkwara na kiongozi wa wakati ule.

Cha ajabu leo unaweza kumwona Lissu akimsimanga na kumsema vibaya Samia Kama mpinzani wake na wakati huo huo naona kama hakuna maelewano mazuri baina ya Mbowe na Lissu.

Hapa pia najiuliza Nini kinaendelea lakimi pati jibu sahihi!

Akili yangu inaniambia huenda Mungu na shetani si maadui kama tunavyofikiri au kuaminishwa na wachungaji namashehe wetu, pengine labda nima rafiki wa kushibana.

Wala hawabaguani kama tunavyo baguana lakini ni nani aliyeamuru kumpiga risasi risu?

Je, mtu huyu alikuwa upande upi na chama kipi?

Je, hakushirikiana na mwanachama mwenzie aliye thubutu kumsaidia Lissu kwenda kutibiwa nje?

Je, aliyeamuru Lissu kupigwa risasi alikuwa nani au alikuwa na lengo gani kwenye inchi hii? Adui au rafiki wa inchi?

Na huyu aliye msaidia Lissu kutoka nje kwa ajili ya matibabu atakuwa ni adui au rafiki wa inchi yetu?

Je, Mbowe ni nani pale CHADEMA, ni mpinzani au mfifishaji wa Wapinzani wa kweli na wanaharakati wazalendo wa inchi hii?

Nina maswali mengi yanayo nichanganya lakini kwa leo acha ni ishie hapa kwa kusema; huenda Diamond na Konde wanakutana na kunywa pamoja nje ya ulimwengu wa kamera/nje ya mziki japo kwa siri sana.

Huenda CHADEMA ni CCM na CCM ni CHADEMA na huenda Mbowe ni CCM lakini walio chini hawalijui hilo!
 
Mkuu, rudi shule hujachelewa
Silaa
Ndugu zangu siasa nikitu kigumu Sana si kitu Cha kuji husisha nacho Sana

Nakumbuka kipindi sraha anagombea kiti kile kikuu kwatiketi ya chadema alionekana wazi wazi kwamba huenda akawa ndiye next tz president kupitia upinzani kwa wakati ule

Hasa ukiangalia mtiti aliokuwa Ana ukusanya kwenye mikutano yake
View attachment 3071150
Lakini gafra ikatokea mzee huyu akapigwa chini

hatujakaa sawa rowasa akawa mgombea

hapa huwa najiuliza sjui Nini kilifanyika na ninani Ali ratibu mchezo ule na kwa masrahi gani mpaka akamwingiza fisi awa pambanie kondoo haki zao???

Nashindwa kupata jibu

Baada ya mda akatokea mzalendo na mjuzi wa Sheria mwenye uchungu wa dhati na inchi yake aliye kuwa tayali hata kuyatoa maisha yake kwa inchi yake

Mtu huyu baada ya kuonyesha uthubutu ambao haukuwai kufanywa na wapinzani wengine kabra

mtu huyu ghafra aka shambuliwa kwa risasi na kulazwa kwenye hospital ambayo kwa Hari yake na mazingira yaliyo kuwepo hakustahiri kulazwa pale

lakini hapo hapo akatokea mtu kutokea chama pinzani na risu

na mtu huyo kwa kibari chake risu akaenda kulazwa Kenya ambapo huko alisafirishwa mpaka ughaibuni kwa ajiri ya matibabu yake mpaka kupona kwake"

na kipindi wakati yupo hapo Kenya ali tembelewa kwa ajiri ya kujuliwa Hari na raisi wetu wa sasa/SSH kabla ya kwenda kutibiwa nje huko""

sasa najiuriza kwanini mtu wa chama pinzani na risu aliamua kumsaidia huyu bwana risu kumtoa hapa mpaka Kenya wakati huohuo risu akiwa mpizani wake?

je! Mtu huyo wa chama pinzani na risu alitegemea Nini kutoka kwa risu baada ya kupona??

Hilo nalo bado nifumbo linalo hitaji kulifumbua

kikubwa zaidi kinacho shangaza huyo huyo risu ndiye mpinzani mkubwa wa sasa wa SSH""

na SSH ndiye mtu aliye enda kumtakia Hari akiwa huko Kenya pamoja na kuchimbwa mkwala na kiongozi wa wakati ule

Cha ajabu leo unaweza kumwona risu akimsimanga na kumsema vibaya SSH"" Kama mpinzani wake

na wakati huo huo naona Kama hakuna maelewano mazuri baina ya mbowe na risu

Hapa pia najiuliza Nini kinaendelea? Lakini spati jibu sahihi

Hakili yangu inaniambia huenda mungu na shetani si maadui Kama tunavyo fikiri au kuaminishwa na wachungaji namashehe wetu

pengine labda nima rafiki wa kushibana

Wala hawabaguani kama tunavyo baguana lakini ninani aliye amuru kumpiga risasi risu?

Je mtu huyu alikuwa upande upi na chama kipi?

Je hakushirikiana na mwana chama mwenzie aliye thubutu kumsaidia risu kwenda kutibiwa nje?

Je aliye amuru risu kupigwa risasi alikuwa Nani au alikuwa na lengo gani kwenye inchi hii

adui au rafiki wa inchi??

Nahuyu aliye msaidia risu kutoka nje kwa ajiri ya matibabu atakuwa ni adui au rafiki wa inchi yetu?

Je! Mbowe ninani pale chadema ni mpinzani au mfifishaji wa Wapinzani wakweli na Wana harakati wazalendo wa inchi hii??

Nina maswali mengi yanayo nichanganya lakini kwa Leo acha ni ishie hapa kwa kusema

Huenda diamond na konde Wana kutana na kunywa pamoja nje ya ulimwengu wa kamera/nje ya mziki japo kwa Siri Sana

Huenda chadema ni ccm na ccm ni chadema na huenda mbowe ni ccm lakini walio chini hawalijui hilo
Ilibidi usome ulichokiandka kabla ya kupost ingesaidia kupunguza makosa!!.
 
Ndugu zangu siasa nikitu kigumu Sana si kitu Cha kuji husisha nacho Sana

Nakumbuka kipindi sraha anagombea kiti kile kikuu kwatiketi ya chadema alionekana wazi wazi kwamba huenda akawa ndiye next tz president kupitia upinzani kwa wakati ule

Hasa ukiangalia mtiti aliokuwa Ana ukusanya kwenye mikutano yake
View attachment 3071150
Lakini gafra ikatokea mzee huyu akapigwa chini

hatujakaa sawa rowasa akawa mgombea

hapa huwa najiuliza sjui Nini kilifanyika na ninani Ali ratibu mchezo ule na kwa masrahi gani mpaka akamwingiza fisi awa pambanie kondoo haki zao???

Nashindwa kupata jibu

Baada ya mda akatokea mzalendo na mjuzi wa Sheria mwenye uchungu wa dhati na inchi yake aliye kuwa tayali hata kuyatoa maisha yake kwa inchi yake

Mtu huyu baada ya kuonyesha uthubutu ambao haukuwai kufanywa na wapinzani wengine kabra

mtu huyu ghafra aka shambuliwa kwa risasi na kulazwa kwenye hospital ambayo kwa Hari yake na mazingira yaliyo kuwepo hakustahiri kulazwa pale

lakini hapo hapo akatokea mtu kutokea chama pinzani na risu

na mtu huyo kwa kibari chake risu akaenda kulazwa Kenya ambapo huko alisafirishwa mpaka ughaibuni kwa ajiri ya matibabu yake mpaka kupona kwake"

na kipindi wakati yupo hapo Kenya ali tembelewa kwa ajiri ya kujuliwa Hari na raisi wetu wa sasa/SSH kabla ya kwenda kutibiwa nje huko""

sasa najiuriza kwanini mtu wa chama pinzani na risu aliamua kumsaidia huyu bwana risu kumtoa hapa mpaka Kenya wakati huohuo risu akiwa mpizani wake?

je! Mtu huyo wa chama pinzani na risu alitegemea Nini kutoka kwa risu baada ya kupona??

Hilo nalo bado nifumbo linalo hitaji kulifumbua

kikubwa zaidi kinacho shangaza huyo huyo risu ndiye mpinzani mkubwa wa sasa wa SSH""

na SSH ndiye mtu aliye enda kumtakia Hari akiwa huko Kenya pamoja na kuchimbwa mkwala na kiongozi wa wakati ule

Cha ajabu leo unaweza kumwona risu akimsimanga na kumsema vibaya SSH"" Kama mpinzani wake

na wakati huo huo naona Kama hakuna maelewano mazuri baina ya mbowe na risu

Hapa pia najiuliza Nini kinaendelea? Lakini spati jibu sahihi

Hakili yangu inaniambia huenda mungu na shetani si maadui Kama tunavyo fikiri au kuaminishwa na wachungaji namashehe wetu

pengine labda nima rafiki wa kushibana

Wala hawabaguani kama tunavyo baguana lakini ninani aliye amuru kumpiga risasi risu?

Je mtu huyu alikuwa upande upi na chama kipi?

Je hakushirikiana na mwana chama mwenzie aliye thubutu kumsaidia risu kwenda kutibiwa nje?

Je aliye amuru risu kupigwa risasi alikuwa Nani au alikuwa na lengo gani kwenye inchi hii

adui au rafiki wa inchi??

Nahuyu aliye msaidia risu kutoka nje kwa ajiri ya matibabu atakuwa ni adui au rafiki wa inchi yetu?

Je! Mbowe ninani pale chadema ni mpinzani au mfifishaji wa Wapinzani wakweli na Wana harakati wazalendo wa inchi hii??

Nina maswali mengi yanayo nichanganya lakini kwa Leo acha ni ishie hapa kwa kusema

Huenda diamond na konde Wana kutana na kunywa pamoja nje ya ulimwengu wa kamera/nje ya mziki japo kwa Siri Sana

Huenda chadema ni ccm na ccm ni chadema na huenda mbowe ni ccm lakini walio chini hawalijui hilo
Uandishi wako una utata
 
Ndugu zangu siasa nikitu kigumu Sana si kitu Cha kuji husisha nacho Sana

Nakumbuka kipindi sraha anagombea kiti kile kikuu kwatiketi ya chadema alionekana wazi wazi kwamba huenda akawa ndiye next tz president kupitia upinzani kwa wakati ule

Hasa ukiangalia mtiti aliokuwa Ana ukusanya kwenye mikutano yake
View attachment 3071150
Lakini gafra ikatokea mzee huyu akapigwa chini

hatujakaa sawa rowasa akawa mgombea

hapa huwa najiuliza sjui Nini kilifanyika na ninani Ali ratibu mchezo ule na kwa masrahi gani mpaka akamwingiza fisi awa pambanie kondoo haki zao???

Nashindwa kupata jibu

Baada ya mda akatokea mzalendo na mjuzi wa Sheria mwenye uchungu wa dhati na inchi yake aliye kuwa tayali hata kuyatoa maisha yake kwa inchi yake

Mtu huyu baada ya kuonyesha uthubutu ambao haukuwai kufanywa na wapinzani wengine kabra

mtu huyu ghafra aka shambuliwa kwa risasi na kulazwa kwenye hospital ambayo kwa Hari yake na mazingira yaliyo kuwepo hakustahiri kulazwa pale

lakini hapo hapo akatokea mtu kutokea chama pinzani na risu

na mtu huyo kwa kibari chake risu akaenda kulazwa Kenya ambapo huko alisafirishwa mpaka ughaibuni kwa ajiri ya matibabu yake mpaka kupona kwake"

na kipindi wakati yupo hapo Kenya ali tembelewa kwa ajiri ya kujuliwa Hari na raisi wetu wa sasa/SSH kabla ya kwenda kutibiwa nje huko""

sasa najiuriza kwanini mtu wa chama pinzani na risu aliamua kumsaidia huyu bwana risu kumtoa hapa mpaka Kenya wakati huohuo risu akiwa mpizani wake?

je! Mtu huyo wa chama pinzani na risu alitegemea Nini kutoka kwa risu baada ya kupona??

Hilo nalo bado nifumbo linalo hitaji kulifumbua

kikubwa zaidi kinacho shangaza huyo huyo risu ndiye mpinzani mkubwa wa sasa wa SSH""

na SSH ndiye mtu aliye enda kumtakia Hari akiwa huko Kenya pamoja na kuchimbwa mkwala na kiongozi wa wakati ule

Cha ajabu leo unaweza kumwona risu akimsimanga na kumsema vibaya SSH"" Kama mpinzani wake

na wakati huo huo naona Kama hakuna maelewano mazuri baina ya mbowe na risu

Hapa pia najiuliza Nini kinaendelea? Lakini spati jibu sahihi

Hakili yangu inaniambia huenda mungu na shetani si maadui Kama tunavyo fikiri au kuaminishwa na wachungaji namashehe wetu

pengine labda nima rafiki wa kushibana

Wala hawabaguani kama tunavyo baguana lakini ninani aliye amuru kumpiga risasi risu?

Je mtu huyu alikuwa upande upi na chama kipi?

Je hakushirikiana na mwana chama mwenzie aliye thubutu kumsaidia risu kwenda kutibiwa nje?

Je aliye amuru risu kupigwa risasi alikuwa Nani au alikuwa na lengo gani kwenye inchi hii

adui au rafiki wa inchi??

Nahuyu aliye msaidia risu kutoka nje kwa ajiri ya matibabu atakuwa ni adui au rafiki wa inchi yetu?

Je! Mbowe ninani pale chadema ni mpinzani au mfifishaji wa Wapinzani wakweli na Wana harakati wazalendo wa inchi hii??

Nina maswali mengi yanayo nichanganya lakini kwa Leo acha ni ishie hapa kwa kusema

Huenda diamond na konde Wana kutana na kunywa pamoja nje ya ulimwengu wa kamera/nje ya mziki japo kwa Siri Sana

Huenda chadema ni ccm na ccm ni chadema na huenda mbowe ni ccm lakini walio chini hawalijui hilo
Nimejitahidi kusoma lakini nimejikuta nakereka kwa sababu ya uandishi wako. Kiufupi sijui umeandika lugha gani maana sio kiswahili wala kiingereza lugha ambazo ninazijua kwa umbali.
Mf
Risu ni nini?
Hakili ni vitu gani?
Hari ni neno la lugha gani🫢🫢🫢
 
Mwenyewe akilisoma hili bandiko atakushtaki kwa kulikosea jina lake
 
Mleta uzi una akili sanaa! Wachache ndiyo tumekuelewa. Maswali yako ni fikirishi yanahitaji akili kubwa. Ndiyo maana wahenga walisema ' siasa siyo kabsaàa!.

Mleta uzi una akili sanaa! Wachache ndiyo tumekuelewa. Maswali yako ni fikirishi yanahitaji akili kubwa. Ndiyo maana wahenga walisema ' siasa siyo kabsaàa!.
Jf skuhizi imevamiwa na Wala ngada milungi na wapiga nyeto sio mda jf inaenda kuwa Kama fb
 
Nimejitahidi kusoma lakini nimejikuta nakereka kwa sababu ya uandishi wako. Kiufupi sijui umeandika lugha gani maana sio kiswahili wala kiingereza lugha ambazo ninazijua kwa umbali.
Mf
Risu ni nini?
Hakili ni vitu gani?
Hari ni neno la lugha gan
Hahaaa umesoma haujaelewa nimeandika lugha gani? Afu unanijibu kwa kiswahili na unauja sjui kiswahili

Afu jina lako unaitwa hamada umelewa😉😉 sjui nakusaidiaje Sasa bwana hamada
 
Now have I understand who you are internally. coz have you show your self how low is about your thinking capacity

so nime kusamehe
 
Back
Top Bottom